Kwa polisi naona bado mtagandishwa sana kwenye makutano. Kumbuka mmesema mnachangamoto ya kucheleweshwa maeneo hayo na mnatafuta ufumbuzi ni ufumbuzi gani huo wakati mdau muhimu mnatafuta anza kumsurubu kwa nauri
Kabra ya kuliuza kama Chama chakavu ulipaswa kumwita mkaguzi wa magari toka polisi athibitishe kwamba hiyo gari ni right off na haifai tena kwa matumizi. Baada ya hapo angekujazia form maalum ambayo ungeipeleka TRA,wao wangeifuta kwenye mfumo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.