Samweli Sitta ni Mgonjwa

Samweli Sitta ni Mgonjwa

Status
Not open for further replies.
Kuumia mguu ni ugonjwa pia,au mnatafsiri VIP ugonjwa..Get well soon Mzee Sita,uje utueleze uliamuaje kuungana na wenzako kuyasigina maoni ya watanzania ktk katiba mpya,Bahati nzuri Hao hao wakakutosa ktk uspika..bado ana muda wa kuwaomba radhi watanzania.
 
Pole mzee Samwel Sitta, Mungu wa huruma na akuponye
 
Anatakiwa mwandishi wa habari makini muda na kipindi hiki anapoumwa akamuulize "hivi ni kweli kuna wabunge wa bunge la katiba walipiga kura wakiwa hija?

Tunaweza kupata jibu zuri sana.
Sure
 
Diana Sitta baba yako anaumwa omba watz wamuombee afya yake inedhoofu wewe unadanganya ili iweje?

Diana ni muongo kama baba yake, kuteleza na kuumia misuli ndio kumempeleka kutibiwa India? Au waliomwona Dubai akija TZ ni waongo? Mwacheni Mungu ampe haki yake kama Sitta aliyetuharibia Katiba yetu
 
Kosa lile la kuchafua katiba yetu sijui kama nitakuja kumsamehe, labda akiwa kaburini ndiyo naweza kumsamehe
Kwani hiyo katiba ni biblia au masahafu kwamba kosa alofanya hatosamehewa Na Muumba...usipomsamehe wewe wenzio tushamsamehe Kwa Muhanga alojitolea cku za nyuma kuruhusu mijadala ambayo ilipelekea hata huo ufahamu ulokuwa nao juu ya Bunge Na madhaifu ya serikali.....Mungu amjaaliw Afya apone mapema mzee wetu
 
Unafikiri ataishi milele? Hata iweje ataonja tu! Sijasema kwa ubaya ila kweli amekula vya kutosha! Sasa wataka hadi awe anaanikwa juani....? Heri akapumzike mapema
Uzuri nawe UTAKUFA tu. Haijalishi unajenga hoja vipi, UTAKUFA tu!
 
Jamani humu ndani jf hukuna huruma, Mzee anaumwa yapaswa kumfariji kwani kaleta mapinduzi kwny bunge letu.Mungu ampe maisha marefu.
Alishiriki sana kuichakachua katiba.Bila aibu mzee aliona achumie tumbo.Historia itamhukumu.
 
Eeh Mola embu shikilia na kukaza hiyo Kamba vizuri hapo kwa6 ili Wanafiki wenzake wanaonyanyasa wanyonge Watanzania wajue kuwa kuna Mungu,Ameni!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom