Manton
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,163
- 1,529
Sanaa hataki haraka.utakuwa sio mzima wewe..........
Sanaa hataki haraka.utakuwa sio mzima wewe..........
Mengineyo yapi unayoyapenda kutoka kwa watoto wa kihaya... ?msambwanda!! ila jaman nitoe tuu tunu zangu huku nyie watoto wa kike wa kihaya mmejaaaliwa neema za Allah hat are napenda pia tabia yenu ya upole na mengineyo![]()
![]()
![]()
![]()

Haya ngoja tutetemeke basiDomo anawatetemesha......!
Yan vile viuno tuuu mmmhhh huu wimbo wa harusiunantekenyaga ukinyonga salomeee..
big up pltnumz
vitenge vile
nyimbo ya kitamaduni afu imeboreshwa...
director
mambo hayaendagi NGE NGE,, huwaga NGANGA NGAAAAAA
diamond bana mjanja sana saiv hata uwe harusin unacheza diamond uwe club diamond

Dah, kweli wasafi wamebarikiwa nimesikiliza wimbo wa diamond na rayvanny ni noma sana, Hawa vijana wanajua wimbo umeachiwa hata SAA haujamaliza nimeuelewa sana
[Media]

style yao ya Kong fu pandaMengineyo yapi unayoyapenda kutoka kwa watoto wa kihaya... ?![]()
![]()
![]()
![]()
pamoja na ikwiriri water fall na ukarimu pia.