No mkulu,
Sakata la Masha dhidi ya Mengi ni kubwa mno na kwa vile Masha ameingia mtini baada ya kukumbana na big tyme neg pub opinion, hiyo tu hailifanyi hilo swala kuwa dogo.
Masha na mafisadi wenzake walitaka kuziba mdomo wa magazeti mahiri ya Thisday na Kulikoni kwa vile yameendelea...
neah,
kabla sijafika kwa wananchi wote, ninaanzia pale ambapo tatizo limekubuhu na kuelekea kwenye udonda ndugu (kansa?) ambako ni ccm ya Kikwete, Makamba, Rostam Azizi, Manji, Chenge (tume ya maadili ya ccm?) nk
CCM wote wameoza kuanzia Kikwete hadi kwa balozi wa nyumba kumikumi. Hii nguvu na kibri ya kutoa rushwa waziwazi wanaipata kwa Kikwete mwenyewe na si kwingine kokote kule.
Kubwa ni ile ya Kikwete kumtumia waziri wake fisadi aitwaye Karamagi kusaini mkataba wa madini hotelini, kulikopelekea wabunge wa ccm kumfukuza Zitto bungeni, kupelekea viongozi wa ccm kuzomewa nchi nzima, na kupelekea Kikwete kuunda kamati ya usanii ya madini baada ya kutoa hotuba ya masaa...
Ukiona serikali inanunua magari ya fahari 700 wakati shule zinakosa vyakula, basi ujue kuwa kuna tatizo somewhere between serikali iliyoko madarakani na wapiga kura walioiweka serikali hiyo madarakani.
Na bado kuna mtu anatumia muda mwingi kutaka kujua ni kina nani wanaandika hapa JF badala...
Kama mafisadi wengine waliomtangulia (Manji, Lowassa, Rostam Azizi, etc), Masha ameshindwa kufanya chochote dhidi ya Mengi hata baada ya kutoa vitisho vya siku saba kwa hasira na mikiki mingi.
Kwa mara nyingine, dozi kubwa aliyopata hapa JF imemfanya arudi nyuma na kuacha magazeti mahiri ya...
Kichuguu,
Kuna mambo ambayo inabidi kuwa siri (yaani kuna mambo huwa mimi sitaki kuyajua kabisa) ila mambo mengi yanayosemwa au kufanywa na viongozi wa serikali sio siri na hayafai kuwa siri kabisa.
Masha ananionea wivu mimi na sio the other way around.
At the age of 24 ..... ninalipwa mshahara mara kibao zaidi ya mshahara halali wa Masha. Nani anamuonea wivu mwenzake sasa.... hey .. nani ana wivu?
Masha akirudisha pesa yote ya kifisadi aliyoipata ..... kwa wizi wa pesa za serikali na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.