Mgoyangi
Senior Member
- Feb 6, 2008
- 184
- 9
Nimeangalia kwenye runinga habari ya kufungwa kwa shule ya Sekondari ya Pugu, kutokana na kukosa Msosi baada ya wazabuni, kususa kuendelea kutoa huduma bila malipo ama kwa LPO yaani Lipa Polepole Ofisa.
lakini pia naangalia kwenye habari makala kuu ya Rai naona jinsi wabunge wanavyolipwa mamilioni, hivi tunakwenda wapi? Siyo kwamba tunajenga jamii ya kifisadi, maana mtoto anayesoma katika mazingira ambayo anaona jamii hamjali, akikuwa lazima atakuwa mla rushwa!
lakini pia naangalia kwenye habari makala kuu ya Rai naona jinsi wabunge wanavyolipwa mamilioni, hivi tunakwenda wapi? Siyo kwamba tunajenga jamii ya kifisadi, maana mtoto anayesoma katika mazingira ambayo anaona jamii hamjali, akikuwa lazima atakuwa mla rushwa!