Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
Mfuatilieni vizuri huyu mama Anna Abdala, ana historia ya kuwapiga vita sana wanawake wenzake anaowaona kuwa ni tishio. Yeye anapenda u-star, anataka aonekane ndiye mwanamke mahiri pekee nchi nzima. Tena nakumbuka nikiwa bado nipo CCM alikuwa hana mahusiano mazuri na wanawake wote maarufu na wenye uwezo kama akina Mama Mongela, Migiro, n.k. Wakati tukimfanyia kampeni mama Migiro katika kampeni zake za mwanzo kabisa za kuwa mbunge Anna Abdala alikuwa moja ya vikwazo sana katika kampeni zetu. Lakini tulipochunguza kwa makini kwa nini alikuwa anampinga Migiro tukagundua kuwa ni wivu tu ulikuwa unamtesa. She is a problem.
Wanawake kama hawa ndio wanaoharibu reputation ya dada zetu katika mambo ya uongozi na ndio wanaojenga hisia kwamba adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe. In fact ningekuwa mbunge pale Dodoma ningemrarua vibaya mno kwa wivu wake, yaani nisingem-spare kwa sababu at least huyu kahistoria kake kakuwapiga vita wanawake wenzake ndani na nje ya CCM ninakajua. Huyu hatakiwa kujibiwa na mwanamke mwenzake, inatakiwa mbunge wa kiume anayejua vizuri hii tabia yake amrarue, ndio ingekuwa mwisho wa tabia yake hii angalau publicly. Hata hivyo tunashukuru hili kujitokeza maana limemuanika vizuri sana.
Wanawake kama hawa ndio wanaoharibu reputation ya dada zetu katika mambo ya uongozi na ndio wanaojenga hisia kwamba adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe. In fact ningekuwa mbunge pale Dodoma ningemrarua vibaya mno kwa wivu wake, yaani nisingem-spare kwa sababu at least huyu kahistoria kake kakuwapiga vita wanawake wenzake ndani na nje ya CCM ninakajua. Huyu hatakiwa kujibiwa na mwanamke mwenzake, inatakiwa mbunge wa kiume anayejua vizuri hii tabia yake amrarue, ndio ingekuwa mwisho wa tabia yake hii angalau publicly. Hata hivyo tunashukuru hili kujitokeza maana limemuanika vizuri sana.