Recent content by mussy p

  1. M

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Dark days....
  2. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwangwi wa Baragumu la NRNE bado unalitetemesha Taifa; ni sauti ya Mungu kwa watanzania, na Lissu ndio Nabii!

    Mkuu heshima kwako, hakika uliona mbali sana.
  3. M

    JamiiForums Tanzania JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    No reforms No election.
  4. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Lissu na kauli mbiu ya “No Reforms, No Election” ni mipango ya Mungu au ya Shetani kutusambaratisha?

    Mkuu Pasco, Natamani kupata maoni yako, No reform No election inazidi kuchanja mbuga kwa mtizamo wangu. Idadi kubwa ya watu wanazidi kung'amua kuwa ni rasmi wameporwa haki yao ya kuchagua kiongozi wanayemtaka. Nawaza Je kutakua na Reforms kabla ya uchaguzi? na kama uchaguzi ukifanyika bila...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Hassan anatekeleza kampeni ya Tundu Lissu ya Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu

    Mkuu GUSSIE hongera yako, kama unamaanisha uliyoyaandika HONGERA SANA, Mi binafsi nilikua nimeku ignore. Kuna siku nikaona uzi ukiomba radhi nikasemehe. Umenipa fundisho kumbe mtu yeyote anaweza kubadilika. Hongera tena Mkuu.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini vijana wengi wa CCM wanatetea siasa chafu za Sabaya?

    Siasa chafu kwao ziliweza kuwapa chakula, wanachanganyikiwa kwa sasa Mama sio muumini wa siasa hizo. Ukizoea vya kunyoga vya kuchinja hutaviweza. Mbaya zaidi kichwani ni hamnazo wengi wao wanauwezo mdogo kichwani. Zama zimebadilika hawajui ima wamejitoa ufahamu. Siasa za maono, itikadi, falsafa...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Hoja ya kuongezewa muda wa Rais kubakia madarakani itaendelea kwa Rais Samia Suluhu Hassan?

    Njaa ni mbaya ila ikikimbilia kichwani ni mbaya zaidi, muda utaamua, ngoja tujipe muda.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mitano tena, maana yake nini?

    Mitano tena!
  9. M

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Naona mnatuombea mabaya ila kesho ushindi uhakika.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Tukumbushane kirefu cha neno B.M

    Buswelu Mwanza. Bwiru Misheni. Buhogwa Mwabuki. Buzuruga Masoma. Butimba Mwanza. Bugarika Mitimirefu Bugando Medicalcentre
  11. M

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    Lugha ni chombo muhimu cha mawasiliano.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mganga Bingwa wa Jadi wa Kimasai, Atimba London-UK, Kupitia Mizimu, Abaini Mauaji ya Kinyama Yaliyofanywa Kwa Mwanamke wa Kimaisai Kumpora Shanga!

    Media ni muhimili muhimu sana katika kuhabarisha, kuelimisha, kuburudisha kwa kuzingatia maadili ya tasnia ya habari. Vyombo vya habari vikiingiwa uwoga kama sasa ni hasara kubwa kwa jamii na taifa kwa ujumla.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini taifa la Nigeria limetawala sekta nyingi sana na kuwa na masupa star Wengi Sana na mabilionea?

    Elimu ni moja ya kitu ama jambo ambalo nafiri limefiwakisha hapo walipo, kwa maana watu wengi wamesoma, wanavyuo Vikuu vya kutosha na hivyo kusabisha exposure kubwa kwa wanaichi wao. Utajiri wa mafuta pia umechangia kuzalisha matajiri wengi. Idadi kubwa yao inasaidia kutanua masoko yao biashara...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Tiketi mkononi, ulemavu mwilini, uimara moyoni. Anarejea uwanja wa mapambano kutimiza haja ya moyo wake!

    Mi naamini kuna sababu kwa nini yuko hai mpaka leo, Mungu sio mjinga kumlinda na risasi zote zile. Hakika muda utaamua.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Allan Kiluvya anapaswa kuwa wa Mwisho Kutekwa, Tusichoke Kupaza Sauti

    Sikuwahi waza kuwa uchaguzi mkuu wa 2015 utabadilisha maisha ya watanzania kiasi hiki. Labda kuna sababu ya kupitia haya tunayoyapitia.
Back
Top Bottom