Recent content by mussy p

  1. M

    Rais Samia Hassan anatekeleza kampeni ya Tundu Lissu ya Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu

    Mkuu GUSSIE hongera yako, kama unamaanisha uliyoyaandika HONGERA SANA, Mi binafsi nilikua nimeku ignore. Kuna siku nikaona uzi ukiomba radhi nikasemehe. Umenipa fundisho kumbe mtu yeyote anaweza kubadilika. Hongera tena Mkuu.
  2. M

    Kwanini vijana wengi wa CCM wanatetea siasa chafu za Sabaya?

    Siasa chafu kwao ziliweza kuwapa chakula, wanachanganyikiwa kwa sasa Mama sio muumini wa siasa hizo. Ukizoea vya kunyoga vya kuchinja hutaviweza. Mbaya zaidi kichwani ni hamnazo wengi wao wanauwezo mdogo kichwani. Zama zimebadilika hawajui ima wamejitoa ufahamu. Siasa za maono, itikadi, falsafa...
  3. M

    Hoja ya kuongezewa muda wa Rais kubakia madarakani itaendelea kwa Rais Samia Suluhu Hassan?

    Njaa ni mbaya ila ikikimbilia kichwani ni mbaya zaidi, muda utaamua, ngoja tujipe muda.
  4. M

    Mitano tena, maana yake nini?

    Mitano tena!
  5. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Naona mnatuombea mabaya ila kesho ushindi uhakika.
  6. M

    Tukumbushane kirefu cha neno B.M

    Buswelu Mwanza. Bwiru Misheni. Buhogwa Mwabuki. Buzuruga Masoma. Butimba Mwanza. Bugarika Mitimirefu Bugando Medicalcentre
  7. M

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Lugha ni chombo muhimu cha mawasiliano.
  8. M

    Mganga Bingwa wa Jadi wa Kimasai, Atimba London-UK, Kupitia Mizimu, Abaini Mauaji ya Kinyama Yaliyofanywa Kwa Mwanamke wa Kimaisai Kumpora Shanga!

    Media ni muhimili muhimu sana katika kuhabarisha, kuelimisha, kuburudisha kwa kuzingatia maadili ya tasnia ya habari. Vyombo vya habari vikiingiwa uwoga kama sasa ni hasara kubwa kwa jamii na taifa kwa ujumla.
  9. M

    Kwanini taifa la Nigeria limetawala sekta nyingi sana na kuwa na masupa star Wengi Sana na mabilionea?

    Elimu ni moja ya kitu ama jambo ambalo nafiri limefiwakisha hapo walipo, kwa maana watu wengi wamesoma, wanavyuo Vikuu vya kutosha na hivyo kusabisha exposure kubwa kwa wanaichi wao. Utajiri wa mafuta pia umechangia kuzalisha matajiri wengi. Idadi kubwa yao inasaidia kutanua masoko yao biashara...
  10. M

    Tundu Lissu: Tiketi mkononi, ulemavu mwilini, uimara moyoni. Anarejea uwanja wa mapambano kutimiza haja ya moyo wake!

    Mi naamini kuna sababu kwa nini yuko hai mpaka leo, Mungu sio mjinga kumlinda na risasi zote zile. Hakika muda utaamua.
  11. M

    Allan Kiluvya anapaswa kuwa wa Mwisho Kutekwa, Tusichoke Kupaza Sauti

    Sikuwahi waza kuwa uchaguzi mkuu wa 2015 utabadilisha maisha ya watanzania kiasi hiki. Labda kuna sababu ya kupitia haya tunayoyapitia.
  12. M

    Nimekumbuka Singida (Mnyaturu mimi)[emoji41]

    Makiungu kwa mbele, Siuyu, Unyambwa, mapando au wapi funguka kidogo Mnyampaa.
  13. M

    Maelekezo ya dozi ya asfulvin!

    Nami nimeanza dozi ya mwezi ngoja nione. Fungasi ya mguu imekua sugu sana. Asfulvin na Clotrimozole powder ndio natumia Sema nawaza mwezi mzima bila gambe.
  14. M

    Mwananchi mnyonge.... Kiambishi kinachotumika vibaya

    Mtu mnyonge ni dhaifu, hohehahe, choka mbaya sioni kama ni lugha ya kujifuvunia. Kufangamanishwa na unyonge ilihali ni mzima wa afya njema huwa sikubaliani. Ni maneno amabayo CCM wameamua kuwahadaa watanzania ili kuzidi kuwapiga na kuwanyonya. Je mnyonge ni nani haswa kwenye nchi hii? Onyonge ni...
  15. M

    Uchambuzi wangu kuhusu vituo vya redio vya Mwanza

    Mi hapa nasikiliza Dira Efm, nikivuta muda uende nisogee MJ kona ya Bwiru kuchek Epl, Nasikiliza sana Dira Efm sababu hawana matangazo mengi,ni mziki wa kutosha.
Back
Top Bottom