OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Tuendelee kufanya maombi timu yetu Arse8 isishuke daraja.
PSG Kashindwa Nini??tuchel anavizia arsenal yaan kashindwa psg hukunsi ndio balaa hamna tubaki tuu na arteta potelea mbali
PSG Kashindwa Nini??
Unamtaka Kocha Yupi??Zidane au Klopp?
Hawana hata nguvu ya kufungua huu uzi waoTimu yenu inacheza leo, lakini muko kimya kama mumemwagiwa maji ya baridi vile.
Kweli kufungwa sio kitu kizuri.






🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Timu yenu inacheza leo, lakini muko kimya kama mumemwagiwa maji ya baridi vile.
Kweli kufungwa sio kitu kizuri.
Wewe leo unataka Arse8 ashinde?Timu yenu inacheza leo, lakini muko kimya kama mumemwagiwa maji ya baridi vile.
Kweli kufungwa sio kitu kizuri.

Safe bet itakua kusema Arsenal hatopata clean sheet.Kwa mnaobet Leo arsenal anashinda tupieni mkeka.