Kaka tumia muda kufatilia juu ya huyu mwandishi wa hicho kitabu anatumika alishafanya hivo zaidi ya Mara mbili kwa kutumia YouTube akarudi kwa tb joshua kuomba msamaha akisema alilipwa afanye hivo na hizo video akiomba msamaha zipo youtube
Tb Joshua anamadhaifu kama mwanadamu ila mengi aliyosema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.