Aigoo
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 3,124
- 2,820
Habari wanaJF
Mimi kama baharia mzoefu nasikitika sana nimeshindwa kuelewa hili swala kwa upana.. kumejitokeza wimbi la wadada huko Instagram wakidai kutafuta wenza, wachumba wa kuishi nao wengi na wao wakitokea huko udayasporani.
Wachache wako Tanzania na wanajinadi kuwa na hali nzuri kifedha ... Najiuliza maswali mengi sana lakini sipati majibu . Je, hawa ni matapeli, wezi au wana agenda gani zaidi, kuna mtu amewahi wazamia hawa?.
Mimi kama baharia mzoefu nasikitika sana nimeshindwa kuelewa hili swala kwa upana.. kumejitokeza wimbi la wadada huko Instagram wakidai kutafuta wenza, wachumba wa kuishi nao wengi na wao wakitokea huko udayasporani.
Wachache wako Tanzania na wanajinadi kuwa na hali nzuri kifedha ... Najiuliza maswali mengi sana lakini sipati majibu . Je, hawa ni matapeli, wezi au wana agenda gani zaidi, kuna mtu amewahi wazamia hawa?.