Mch. Msingwa rudi kundini

Mch. Msingwa rudi kundini

Mudawote

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
11,569
Reaction score
16,029
Umofia kwenu wadau,

Ninaombi kubwa moja, Mh. Mch. Msigwa popote ulipo, rudi kundini, uchunge wana kondoo, maana ulimi wako unazidi kuwapoteza wengi.

Wewe Mch. Msigwa si yule waliyekufahamu watanzania enzi zile kabla ya 2015, kwani tangu ulipoikaribisha ile zambi iliyo muuza Yesu Kristu, basi umekua muongo muongo.

Yaani wewe Mch. Msigwa hata ile juzi unaongea kwenye ile video ukiwa nchini Kenya mwili wako na nafsi yako ilikuwa inakusuta. Hata baada ya kumpokea yule Mh. sana aliye kupatia ile kitu iliyomuuza bwana wetu Yesu Kristu, ulibadilika, nakumbuka kwenye mahojiano na Mh. Pole Pole, basi ulikuwa unatoa macho utadhani unatafua gololi.

Rudi kundini Mch. Msigwa uchunge kondoo, hamia CCM, njoo tupambane kuikomboa nchi toka mikononi mwa wezi, taifa linakuhitaji, wewe si mtu wa kupewa vikaratasi eti nenda kaongee hiki, wewe unajitambua, rudi kundini Mh. mchungaji Msigwa, utapokelewa na watanzania watakusamehe.
 
Umofia kwenu wadau,

Ninaombi kubwa moja, Mh. Mch. Msigwa popote ulipo, rudi kundini, uchunge wana kondoo, maana ulimi wako unazidi kuwapoteza wengi.

Wewe Mch. Msigwa si yule waliyekufahamu watanzania enzi zile kabla ya 2015, kwani tangu ulipoikaribisha ile zambi iliyo muuza Yesu Kristu, basi umekua muongo muongo.

Yaani wewe Mch. Msigwa hata ile juzi unaongea kwenye ile vidoe ukiwa nchini Kenya mwili wako na nafsi yako ilikuwa inakusuta. Hata baada ya kumpokea yule Mh. sana aliye kupatia ile kitu iliyomuuza bwana wetu Yesu Kristu, ulibadilika, nakumbuka kwenye mahojiano na Mh. Pole Pole, basi ulikuwa unatoa macho utadhani unatafua gololi.

Rudi kundini Mch. Msigwa uchunge kondoo, hamia CCM, njoo tupambane kuikomboa nchi toka mikononi mwa wezi, taifa linakuhitaji, wewe si mtu wa kupewa vikaratasi eti nenda kaongee hiki, wewe unajitambua, rudi kundini Mh. mchungaji Msigwa, utapokelewa na watanzania watakusamehe.
Unaweweseka sio bure
 
Umofia kwenu wadau,

Ninaombi kubwa moja, Mh. Mch. Msigwa popote ulipo, rudi kundini, uchunge wana kondoo, maana ulimi wako unazidi kuwapoteza wengi.

Wewe Mch. Msigwa si yule waliyekufahamu watanzania enzi zile kabla ya 2015, kwani tangu ulipoikaribisha ile zambi iliyo muuza Yesu Kristu, basi umekua muongo muongo.

Yaani wewe Mch. Msigwa hata ile juzi unaongea kwenye ile vidoe ukiwa nchini Kenya mwili wako na nafsi yako ilikuwa inakusuta. Hata baada ya kumpokea yule Mh. sana aliye kupatia ile kitu iliyomuuza bwana wetu Yesu Kristu, ulibadilika, nakumbuka kwenye mahojiano na Mh. Pole Pole, basi ulikuwa unatoa macho utadhani unatafua gololi.

Rudi kundini Mch. Msigwa uchunge kondoo, hamia CCM, njoo tupambane kuikomboa nchi toka mikononi mwa wezi, taifa linakuhitaji, wewe si mtu wa kupewa vikaratasi eti nenda kaongee hiki, wewe unajitambua, rudi kundini Mh. mchungaji Msigwa, utapokelewa na watanzania watakusamehe.
Hata mfanyeje mmeshikwa kwenye masaburi yenu, siku zote ulikuwa wapi?? Nyumbu wa lumumba hadi mnatia huruma.
 
Yaani ulitaka kumzungumzia Lowassa lila umemtumia Msigwa kuwasilisha hoja yako!
 
Back
Top Bottom