ODILI SAMALU
JF-Expert Member
- Dec 13, 2013
- 1,369
- 489
Wanabodi, nina mpango wa kuanza kutunga mashairi ya bongo fleva na hivyo kuwa msanii wa Muziki huu, Lengo ni kuja na 'mashairi ' yatakayo wapagawisha watu wa makundi yote..
Ushauri wenu juu ya mpango wangu huo je ni mpango mzuri au mbaya?
Ushauri wenu juu ya mpango wangu huo je ni mpango mzuri au mbaya?