Mi sio mdau sana wa politics ila ni observer mzuri wa mambo yanavyokwenda:
Hapa kuna mambo mawili (2): (i) ushindi kiduchu wa JK umesababishwa na secretariet/cc ya CCM au (ii) Utendaji mbovu usioleta matumaini wa Serekali from 2005 - 2010 na from 2010 up to now?
Ki ukweli uchaguzi ulifanyika...
Duh hapo mm sio mtaalam wa sheria ila nadhani haihitaji akili nyingi kujua kwamba hakuna sheria inayolazimisha watu kuendelea na uchumba. Navyochukulia mm uchumba ni kama urafiki tu kwa hiyo kama kabadilisha mawazo kubali matokeo tu kwamba ni tatu bila then start afresh. Sidhani kama kuna sheria...
Nimeipenda hii sentensi, ila bado mkapa alikuwa kichwa kwa uelewa wangu mdogo tu naweza sema hivyo (kujua tu kwamba Balali alikuwa mtaalam na kumwacha afanye kazi zake mpaka mfumuko wa bei ukashuka inatosha kuonyesha Mkapa alikuwa makini)
Ila binafsi bado nakumbuka nakumbuka comments za mzee...
oooh its a good experience from first lady, this signals we have a long way to go to improve our health services. Still we need to re-plan/implement our strategies. Tusicheze na afya jamani!
aahahah, kazi ipo hapo, kwa mifumo ya uchezaji ya Jose Ronaldo hana option zaidi ya kujifunza kukaba. Ila sasa itabidi Madrid wasahau entertaining football kipindi chote ambacho Jose atakuwa nao. Pia nakumbuka Fabio Capello aliwapa madrid ubingwa still akapoteza kazi Real Madrid kutokana na...
Duh we ni kiboko, ila safi sana kuna watu hawatembelei sehemu hizi kumbe wake zao wanaenda shift za usiku sehemu hizo. mzee umelala tu nyumbani ukijifanya una maadili. Ni vizuri kutembelea japo ku observe tu na kuburudisha macho inatosha alafu unarudi kwa mkeo nyumbani
ooh sorry i mean.
Waungwana swali la kizushi. Je sehemu zipi Tanga unaweza kutembelea na ku enjoy? Hoteli nzuri za kufikia, sehemu nzuri za kujirusha and of course mahali unapoweza kwenda na kuona warembos wa kitanga wengi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.