Recent content by mkatangara

  1. M

    Anayeijua kampuni ya Young Investment Co Ltd

    Young investment Co. Ltd was incorporated under the companies Act 2002 section 15 of the United Republic of Tanzania on 12th day of March the year 2018 as a Private limited by Share Company. The company is now engaged in a variety of business activities not limited to trade, manufacture...
  2. M

    Nimevamiwa kwenye plot yangu

    Kama kiwanja kimepimwa na hati ipo kwa jina lako na wewe unayo hiyo hati basi kiwanja ni chako, we kiulaini kabisa hakikisha unalipia kodi kama kawaida na unatunza risiti, hao wengini kama hawana hati waambie wametapeliwa na kisheria imekula kwao we endelea na ujenzi manake hata wakienda polisi...
  3. M

    Msimamo wangu: Unataka nikusomeshe nizalie kwanza mtoto ndo nikupeleke shule full stop

    Mambo ya kosomesha tena, dahh nadhani mambo hayo anayaweza riz moko pia. Mi kamwe siwezi kusomesha demu.
  4. M

    msaada wa kisheria please,

    Mimi nina mtu nimempangisha nyumba yangu. mkoa tofauti ninapoishi, Mkataba nimeuatach na email hii, Kabla ya mkataba huu kwisha nilimtaarifu kwa njia ya simu mpangaji wangu kwamba nitapangisha kodi ya nyumba. itakuwa 400,000 kwa mwezi. Mpangaji wangu akiniambia tutaongea, cha kushangaza kabla...
  5. M

    Vijana wa timu ya mauzo wanahitajika.

    walimu sikuhizi wanauzwa? duuh hii nayo kali.
  6. M

    Mwalimu

    Kama utakubali kunigharamikia huo uhamisho mi nipo tayari, ni mwalimu nipo tanga naweza kuhamia Arusha, lakini nigharamiwe huo uhamisho
  7. M

    Afisa elimu taaluma wilaya

    zipo kwenye halmashauri nyingi tu watu wanakaimu ambaopo wengina hawana hata sifa, Taarifa za walimu wenye vigezo vya kuweza kuteuliwa kushika nafasi hizo zimeshapelekwa TAMISEMI ambao ndio mamlaka ya uteuzi wa watu hao kwa bahati mbaya utaratibu wa kuwateua nao unachukua muda sana TAMISEMI...
  8. M

    Mifuko ya Jamii PSPF,PPF,GEPF na LAPF IPI NZURI

    mifuko ambayo inatoa pension nzuri hadi sasa ni PSPF na LAPF lakini pspf ni kwa watumishi wa serikali kuu tu tena wenye vyeo vya kuanzia officer pamoja na walimu wote. LAPF walikuwa wanadili na watumishi wa halmashauri lakini kwa sasa wamebadilika wanachukua mtumishi kutoka sekta yeyote. Kama...
  9. M

    Taarifa ya Tume ya Haki za Binadamu (THBUB): Mauaji ya Mwangosi

    at least hii haijaboa kama ya tume ya gimbi
  10. M

    Teophil Makunga umejidhalilisha mno kutumiwa na Nchimbi

    Na mimi sitanunua tena gazeti la mwananchi na citizen kutokana na maneno niliyosikia anaongea huyu makungu sijua amelishwa kungu, pumbafu yake, mshenzi sana,hana hata huruma kwa mwandishi mwenzake, shenzi kabisa. Ripoti gani wanatuletea kama wanaogopa mahakama hiyo kamati ingevunjwa iachiwe...
  11. M

    Hongera Paul Makonda kujiuzulu uenyekiti tahliso

    Huyo Tusiuane ni kuwadi wa huyo Makonda hawezi kusifia kitu ambacho ni uongo, Huyo makonda hajajiuzuru TAHILISO na kwamba amekaimisha nafasi hiyo na yeye kwenda kugombea umakamu mwenyekiti uvccm na kwamba akishindwa anarudi kuendelea na nafasi yake. Huu ni undumilakuwili na jamaa anajionyesha...
  12. M

    Paulo Makonda acha tamaa ya uongozi

    Nasema tena huyu jamaa afai kuwa kiongozi kwa sababu kwanza anajionyesha hajiamini kama nafasi anayokwenda kugombea atashinda na pili inaonekana anatamaa sana ya uongozi, kwanini akaimishe nafasi ya Uenyekiti Tahiliso na kwenda kugombea nafasi ya umakamu mwenyekiti UVCCM. kwa masharti ya...
  13. M

    Paulo Makonda acha tamaa ya uongozi

    Taarifa kuhusiana na kitendo cha huyu mwenyekiti wa tahiliso kukaimisha nafasi yake kwa muda na kisha kwenda kugombea umakamu mwenyekiti uvccm taifa sijaikubali kabisa kwa sababu inaonyesha huyu jamaa yupo kimkakati kufanikisha kujilisha na si kuwakilisha. Sikubaliani na kitendo chake cha...
  14. M

    Paulo Makonda acha tamaa ya uongozi

    Sijafurahishwa na taarifa ya huyu mtu anayeitwa Paulo Makonda kukasimisha nafasi yake kwa makamu mwenyekiti tahlso bwn. Abubakar Mohamed toka Zanzibar huku yeye akijikita na siasa za kuwania kiti cha umakamu uenyekiti UVCCM Taifa, na kwamba eti akishinda nafasi yake hiyo ya huko UVCCM ndio...
  15. M

    DIVA LOVENESS LOVE: Atakayenioa mahali siyo chini ya milioni 500

    mi nipo tayari kumchukua jumla. ani pm tuweke mambo sawa
Back
Top Bottom