Naomba atakayesikia kuna
nafasi za afisa elimu taaluma sekondari au shule za msingi katika
halmashauri yoyote anipatie taarifa.
Naomba atakayesikia kuna nafasi za afisa elimu taaluma sekondari au shule za msingi katika halmashauri yoyote anipatie taarifa.
Walimu wengi siku hz
wanasoma wakiwa makazini, hivyo wakirud wanapewa vyeo km hivyo.
usitegemee kitatangazwa wakat waloajiliwa wanapandishwa vyeo. ni vigumu
cku hz kupata ajira mpya kwa uafisa elimu. mara chache sana
Naomba atakayesikia kuna nafasi za afisa elimu taaluma sekondari au shule za msingi katika halmashauri yoyote anipatie taarifa.