Hicho cha TBC ni upotoshaji mkubwa, kuna haja ya kudai TBC ifungiwe kwa kupotosha kwa makusudi report muhimu kama hii.Mimi binafsi sijaisoma report yenyewe lakini niliichosikia TBccm wakisema kimenipa hasira na nikasema kama jaji mzima kasema hivyo basi nchi hii ina shida kubwa sana
Nisaidieni mimi mwenzenu, maana nina king'amuzi cha star times ambacho ndani yake kuna channel mbili tu mhimu, chennel ten na TBC, ninafanyeje ili niweze kuaccess chennel nyingine kwa kutumia king'amuzi hiki. vinginevyo itabidi tu nikitupe nitafute kingine, maana huwa daima nikiangalia taarifa za habari za TBC naishia kukereka tu.
Hii sentence hapa chini nimeipenda:
"Kuwepo kwa vyama vya siasa ionekane kuwa ni kukuwa kwa demokrasia na sio kuwaniupinzani kwa chama tawala"
Hakuna lolote litakalofanyika, baada ya muda kila kitu kitasahaulika.Baada ya hizi tume kitu gani kitafuatia au ndio itaishia watu kulalamika tu.
Huu ni muhtasari mzuri wenye mapungufu mengi mkuu!!utawekwa hapa soon.Sasa si waiweke yote hadharani ili wananchi wajue hasa ilikuwaje wafikie mahitimisho yao? Walimhoji nani na alijibu nini..