Recent content by Mjopho

  1. Mjopho

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Refa anapulizia wachezaji wa spain upupu..
  2. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Wanetu mbasiri sana.
  3. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Kwenye hii vita ya biashara, wananchi tumesimama upande wa wachina, wafanyabiashara wazawa wanatuumiza sana kwa tamaa ya mafanikio ya haraka

    Mkuu unaweza toa mfano halisi wa bidhaa na bei zake kwa pande zote mbili.
  4. Mjopho

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Chuma cha pili
  5. Mjopho

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Kuwazuia hawa jamaa inahitaji nifhamu na team work ya hali ya juu sana.
  6. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Halafu wengi walioanza sio kikosi cha kwanza cha siku zote
  7. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Ila private sector kuna watu wanakula maisha balaa

    Huu mshahara ni mdogo sana kwa hali ya maisha ya sasa.
  8. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Sii hatukatai
  9. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Katika mechi zaidi ya 40 toka msimu kuanza arsenal alipoteza si zaidi y game 4, ila katika game 10 za mwisho alizocheza ameishapoteza game 4 pia. Hii inaonesha uwezo umeshuka zaidi.
  10. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ni siku nyingine tena ya kuona maajabu
  11. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    kutoka quadruple mpaka kuwa in trouble.
  12. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mkuwa katika harakati za kupanua gap, angalieni msipanuliwe nyie.
  13. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Na wakifungwa next week itakuwa ni hatati
  14. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arsenal inachekesha kama sio timu yako.
  15. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Hivi mpaka kufikia mda huu mama j bado hajausoma mchezo?
Back
Top Bottom