Ni siku nyingine tena ambayo wapenzi na wafuatiliaji wa kandanda hususani michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya maarufu kama UEFA CHAMPIONS LEAGUE wakisubiri kushuhudia draw ya michuano hiyo itakayofanyika siku ya leo Alhamisi (27 August 2026) mida ya saa 1 usiku kwa saa za Afrika ya...
Katika mechi zaidi ya 40 toka msimu kuanza arsenal alipoteza si zaidi y game 4, ila katika game 10 za mwisho alizocheza ameishapoteza game 4 pia.
Hii inaonesha uwezo umeshuka zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.