Recent content by Mjopho

  1. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Lao moja tayari, bado yenu matatu
  2. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Uefa Champios League draw 2026/27

    Ni siku nyingine tena ambayo wapenzi na wafuatiliaji wa kandanda hususani michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya maarufu kama UEFA CHAMPIONS LEAGUE wakisubiri kushuhudia draw ya michuano hiyo itakayofanyika siku ya leo Alhamisi (27 August 2026) mida ya saa 1 usiku kwa saa za Afrika ya...
  3. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Wao tayari wamepata lao. Bado matatu yenu.
  4. Mjopho

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Refa anapulizia wachezaji wa spain upupu..
  5. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Wanetu mbasiri sana.
  6. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Kwenye hii vita ya biashara, wananchi tumesimama upande wa wachina, wafanyabiashara wazawa wanatuumiza sana kwa tamaa ya mafanikio ya haraka

    Mkuu unaweza toa mfano halisi wa bidhaa na bei zake kwa pande zote mbili.
  7. Mjopho

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Chuma cha pili
  8. Mjopho

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Kuwazuia hawa jamaa inahitaji nifhamu na team work ya hali ya juu sana.
  9. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Halafu wengi walioanza sio kikosi cha kwanza cha siku zote
  10. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Ila private sector kuna watu wanakula maisha balaa

    Huu mshahara ni mdogo sana kwa hali ya maisha ya sasa.
  11. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Sii hatukatai
  12. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Katika mechi zaidi ya 40 toka msimu kuanza arsenal alipoteza si zaidi y game 4, ila katika game 10 za mwisho alizocheza ameishapoteza game 4 pia. Hii inaonesha uwezo umeshuka zaidi.
  13. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ni siku nyingine tena ya kuona maajabu
  14. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    kutoka quadruple mpaka kuwa in trouble.
  15. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mkuwa katika harakati za kupanua gap, angalieni msipanuliwe nyie.
Back
Top Bottom