Recent content by Mjopho

  1. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Halafu wengi walioanza sio kikosi cha kwanza cha siku zote
  2. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Ila private sector kuna watu wanakula maisha balaa

    Huu mshahara ni mdogo sana kwa hali ya maisha ya sasa.
  3. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Sii hatukatai
  4. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Katika mechi zaidi ya 40 toka msimu kuanza arsenal alipoteza si zaidi y game 4, ila katika game 10 za mwisho alizocheza ameishapoteza game 4 pia. Hii inaonesha uwezo umeshuka zaidi.
  5. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ni siku nyingine tena ya kuona maajabu
  6. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    kutoka quadruple mpaka kuwa in trouble.
  7. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mkuwa katika harakati za kupanua gap, angalieni msipanuliwe nyie.
  8. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Na wakifungwa next week itakuwa ni hatati
  9. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arsenal inachekesha kama sio timu yako.
  10. Mjopho

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Hivi mpaka kufikia mda huu mama j bado hajausoma mchezo?
  11. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kwa kinachotokea kwenye hii game ya wareno, kitawaathiri waingereza. Mmoja kati ya city au Chelsea atajichanganya agongwe nyingi tena leo.
  12. Mjopho

    JamiiForums Tanzania WhatsApp wanapaswa kuangalia haya maudhui ya channels wanazotupendekezea

    niakajua ni mimi tu
  13. Mjopho

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mambo 10 muhimu ya kuzungumza kabla ya ndoa ili kuepuka maumivu baadae

    Ngoja nipate maoni toka kwa wakongwe wa hii sekta.
  14. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Steve Barker ateuliwa kocha Mkuu Simba SC

    Wepinzani wanaleta makocha wa maana sie tunaleta muoka mikate....
  15. Mjopho

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kinachonipa matumaini kuhusu city kwasasa ni kuina wachezaji wengine wanafunga, tofauti na mwanzo ambapo magoli ilikuwa ni halaand pekee
Back
Top Bottom