Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 47,165
- 113,008
Tunakutana na ma-agent matapeli 😂Nyie kila msimu mnakusanya genge la wanywa mbege mnaita kikosi😅
Tunakutana na ma-agent matapeli 😂Nyie kila msimu mnakusanya genge la wanywa mbege mnaita kikosi😅
Ila na nyie kuwauzia wengine magasara hamjamboTunakutana na ma-agent matapeli 😂
Kama mount 😂Ila na nyie kuwauzia wengine magasara hamjambo
Na sisi tuliwashikisha mawili kabisa😅Kama mount 😂
Ila wana afadhali 😂Na sisi tuliwashikisha mawili kabisa😅
Dah kazi kweli kwel1. Pambania ubingwa mpaka dakika za mwisho..
2. Cheza mpira mzuri
3. ubingwa achukue Liver/man city
Hatuwezi kuwalaumu. Ndiyo maisha mliyochagua.
Nafasi bila tajiBado naiona nafasi pale juu
Kama aseno tuNafasi bila taji