Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Zubimendi ni kiazi, kila siku tunawaambia humu mnashupaza shingo, Leo kocha lenu limeona limpe nafasi dogo skelly L, pengine akapata chochote kitu.....



Wembe ni ule ule... .tunataka mliwe kichwa, ama lah... draw itapendeza, adui muombe njaa
 
Sasa ukitaka kujua binadamu hawana jema.

Game ya PSG vs Bayern ilitoa jumla ya goli tisa.

Binadamu walewale wanaolalamika games za Italy kutoka bila bila.

Wanaolalamika games za Arsenal kufocus na kudefend.

Wamelalamika ni timu gani professional zinaruhusu magoli kama tenga linalojazwa maji.
Binadamu ni wanafiki sana
 
Zubimendi ni kiazi, kila siku tunawaambia humu mnashupaza shingo, Leo kocha lenu limeona limpe nafasi dogo skelly L, pengine akapata chochote kitu.....



Wembe ni ule ule... .tunataka mliwe kichwa, ama lah... draw itapendeza, adui muombe njaa
Zubemindi amekukosea nini Jombis ?
 
Eze apunguze flairs. Aongeze vision la sivyo atatembezewa benchi kama la mwanzo
 
Zubimendi ni kiazi, kila siku tunawaambia humu mnashupaza shingo, Leo kocha lenu limeona limpe nafasi dogo skelly L, pengine akapata chochote kitu.....



Wembe ni ule ule... .tunataka mliwe kichwa, ama lah... draw itapendeza, adui muombe njaa
Kama kampumzisha kwa ajili ya game ya j4 je, ila mashabiki mna shida sana,au ni nongwa zenu kwa the gunners?
 
Back
Top Bottom