Vien
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 7,516
- 12,357
Nataka apigwe nane 😂😂😂😂Bayern anakufa chuma cha tano dakika ya 57
Nataka apigwe nane 😂😂😂😂Bayern anakufa chuma cha tano dakika ya 57
Anakomaa huku anaweza kurudishaNataka apigwe nane 😂😂😂😂
SIKILIZA WEWE SISI NDIO WATAALAMU .Wewe hata ungekua final na unaongoza dakika ya 90 still kombe usingechukua sembuse semi final.Unabishana na timu ipo Semi Finals kaka. Kesho itakubidi utuangalie bila kupenda.
Was it a great football match or just street football? in Henry's toneYesterday we had a football match.
Today, it's a wrestling match.
Na zile enzi unapiga bodaboda deiwaka jiji la Madrid 😆nimekuwa fan wa Atletico tangu nikiwa mdogo…View attachment 3581249
We acha tu…😂😂 tumetoka mbali sana na hii teamNa zile enzi unapiga bodaboda deiwaka jiji la Madrid 😆
Tulalamike Nini wakati mshapoteana tayari hata sisi tuna huruma ujue.Siku hizi hausikii malalamiko ya magoli ya set pieces kwakua Arsenal hatuscore tena hayo magoli.
Huoni watu wakilalamika wachezaji kujaa kwenye boksi kwakua siyo Arsenal.
Husikii wakisema bingwa wa msimu huu atakua bingwa wa ligi mbovu.
What a wonderful world 🌍
we fala wa bunyokwa sheli huwa ni mpumbavu aisee, arsenal ina kupa endless wet dreamsHawa Arsenal hivi tu hawajachukua kombe tu lakini Kila tukiwaambia lolote hawaelewi.
Vipi wakichukua tutaongea Nini watuelewe si watakuwa wanaona kama tunapepeta umbea tu
Atletico Madrid nembu fanyeni jambo la maana hapo metro politano .
Kila asiye false hoper na aseme Amina!😀
Mkuu wewe si ulisema hutakii kujihusisha na Mambo ya mpira na arsenal ki ujumla na ukawashirikisha na mods kabisa, vipi tena umerudi?we fala wa bunyokwa sheli huwa ni mpumbavu aisee, arsenal ina kupa endless wet dreams
Kobe aki inamisha kichwa chini, ujue ana pima ukubwa wa yake mbroo so usi shangae kuona arsenal ana tinga fainali.Mkuu wewe si ulisema hutakii kujihusisha na Mambo ya mpira na arsenal ki ujumla na ukawashirikisha na mods kabisa, vipi tena umerudi?
Kama kawaida yako false hoper umekalishwa chini false hopes kupatiwa hutakuwa na wakumlaumu ifikapo may 19 huko.
Final ipo ila arsenal kutinga ni suala ambalo halipo . Fainali inahusisha mshindi kitu ambacho hamuwezi kushinda hayo magoli mnayapata kwa kutumia nini, mshinde kwa back passes wachezaji wamegeukia golini kwenu dakika karibu 80+Kobe aki inamisha kichwa chini, ujue ana pima ukubwa wa yake mbroo so usi shangae kuona arsenal ana tinga fainali.
Usi pangie wanaume namna ya kumuadabisha mwali wetuFinal ipo ila arsenal kutinga ni suala ambalo halipo . Fainali inahusisha mshindi kitu ambacho hamuwezi kushinda hayo magoli mnayapata kwa kutumia nini, mshinde kwa back passes wachezaji wamegeukia golini kwenu dakika karibu 80+