Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi unaweza kuilinganisha arsenal hii ya sasa na arsenal ya game 18 za kwanza ukasema ni timu ile ile mkuu?
Atletico ni wachovu ila Arsenal nao wako hoi bin taaban.
Arsenal ya games 18 za kwanza mlisema ni mbovu na hii pia mnasema mbovu. Kwenu kila Arsenal ni ya hovyo so wewe sema tu unachotaka
 
Sasa ukitaka kujua binadamu hawana jema.

Game ya PSG vs Bayern ilitoa jumla ya goli tisa.

Binadamu walewale wanaolalamika games za Italy kutoka bila bila.

Wanaolalamika games za Arsenal kufocus na kudefend.

Wamelalamika ni timu gani professional zinaruhusu magoli kama tenga linalojazwa maji.
 
Arsenal ya games 18 za kwanza mlisema ni mbovu na hii pia mnasema mbovu. Kwenu kila Arsenal ni ya hovyo so wewe sema tu unachotaka
Katika mechi zaidi ya 40 toka msimu kuanza arsenal alipoteza si zaidi y game 4, ila katika game 10 za mwisho alizocheza ameishapoteza game 4 pia.
Hii inaonesha uwezo umeshuka zaidi.
 
Tuliwaambia nyinyi kenge ubingwa hauchukuliwi kwa set pieces kama mbinu kuu, hio ilitakiwa iwe mbinu ya mwisho kabisa yakumalizia ligi mkakaza fuvu.

Saivi watu wamegoma kipa kuzongwazongwa kufunga imekua mtihani.
Kwa open play game anazopiga Fulham kesho nae itakuwa masikitiko mengine na matusi kwa tapeli arteta kama kawaida yenu.
Makaveli anakuambia zamani atleast ilikuwa hatupati makombe ila mpira tunapiga pasi kibao lakini saivi ni wanakosa vyote .
 
Katika mechi zaidi ya 40 toka msimu kuanza arsenal alipoteza si zaidi y game 4, ila katika game 10 za mwisho alizocheza ameishapoteza game 4 pia.
Hii inaonesha uwezo umeshuka zaidi.
KWa hii conclusion kutokana na hizi stats upo sahihi.

Lakini hata katika hizo mechi 40 watu walisema Arsenal ni mbovu so hata wakisema sasa hivi ni same story inasemwa. Haisumbui
 
Fulham ni timu yangu ya utotoni kabisa,
Mungu tunaomba sare tu leo wala hatuombi makubwa.
 

Attachments

  • 1748190012139.jpg
    1748190012139.jpg
    133.4 KB · Views: 6
Katika mechi zaidi ya 40 toka msimu kuanza arsenal alipoteza si zaidi y game 4, ila katika game 10 za mwisho alizocheza ameishapoteza game 4 pia.
Hii inaonesha uwezo umeshuka zaidi.
Hawa jamaa ni wabishi sana ndio maana kila mtu anawaombea mabaya tu.

Kuna wakati kwenye mpira unaangalia takwimu kuthaminisha ubora ila kuna kipindi takwimu hazikupi uhalisia wa mambo. ArsenaL ya msimu juzi na jana ilikuwa bora sana kuliko arsenal ya msimu huu. Ingawa msimu huu arsenal wamelikaribia zaidi kombe kuliko wakati wowote ule kama wangepunguza ujuaji wa arteta

Kwa sasa hawamiliki game na kucheza kwa mamlaka kama zamani kenge hawa
 
Hawa jamaa ni wabishi sana ndio maana kila mtu anawaombea mabaya tu.

Kuna wakati kwenye mpira unaangalia takwimu kuthaminisha ubora ila kuna kipindi takwimu hazikupi uhalisia wa mambo. ArsenaL ya msimu juzi na jana ilikuwa bora sana kuliko arsenal ya msimu huu. Ingawa msimu huu arsenal wamelikaribia zaidi kombe kuliko wakati wowote ule kama wangepunguza ujuaji wa arteta

Kwa sasa hawamiliki game na kucheza kwa mamlaka kama zamani kenge hawa
Nyinyi mnaondika hivi leo ndiyo mwaka jana na mwaka juzi mlidai Arsenal ni mbovu.

Hata leo hapa unaandika hivi ila mwakani utasema hii ni Arsenal bora.

Tumeshawazoea.
 
Nilikua nacheki game ya jana ya Leeds na Burnley, nikawa najaribu kuona ni kipi wenzetu wanafanya sisi hatufanyi.

Jibu ni simple "We never take our chances"

Kwenye game ya leo na yoyote itakayofuata hicho ndicho kitatutoa kwenye reli.

Arsenal to death kubababake.

Screenshot_20260502-182314~2.jpg
 
Kawekwa Skelly pale CM. Game kadhaa nyuma Rice alicheza kama DM exclusively, lakini Zubimendi akawa haendi mbele, nafikiri hii trial ya Skelly kua pale ni kumpa nafasi ya zile explosive dribbles.

Bale alikua ana hizi dribbles akiwa LB. Kocha akaona amsogeze mbele, ikatick kwa Bale. Imetiki kwa Saka, sasa Skelly anapitishwa same route.

Idea ikitiki leo ni sawa isipotiki we are in for troubles na ninaamini Norgaard anastahili kusimama pale dimbani pia.

Let's see hii set up mpya itasaidia nini
 
Back
Top Bottom