Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 37,803
- 75,454
Arsenal ya games 18 za kwanza mlisema ni mbovu na hii pia mnasema mbovu. Kwenu kila Arsenal ni ya hovyo so wewe sema tu unachotakaHivi unaweza kuilinganisha arsenal hii ya sasa na arsenal ya game 18 za kwanza ukasema ni timu ile ile mkuu?
Atletico ni wachovu ila Arsenal nao wako hoi bin taaban.