Doria Mtandaoni
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 322
- 668
Eti timu dhaifu. Watu wanamipango unasema dhaifu? Wapo fainali bado huwapi heshima yao. Mabingwa watetezi wapo fainali unawaona dhaifu. Acha mahaba ya mpira.Kwa mazingira haya ArgentFifa akishinda basi kombe la dunia la msimu huu litakuwa limechukuliwa na timu dhaifu sana
View attachment 3632978
Stats za Baba na mtoto zinatia uchungu
View attachment 3632979
View attachment 3632980