kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,199
- 15,952
City kamaliza pakti huko, kama mlitegemea afungwe ili awabebe imekula kwenu........ mtapakwa mafuta
Usimfananishe agent wetu wa man City na huyo mchele wenu, agent Wa city amefanya kazi nzuri sana leo kufunga goli la tatu 😂Sielewi ni kivipi Chelsea hajaungana na Spurs kwenye relegation kule. Tukisema timu mbovu tunaanzns kuambiwa Caicedo mzuri kuliko Rice
Hii lazima iwe memes ya dunia nzima 😂Arsenal inachekesha kama sio timu yako.
View attachment 3571564
Sawa mbege juniorUsimfananishe agent wetu wa man City na huyo mchele wenu, agent Wa city amefanya kazi nzuri sana leo kufunga goli la tatu 😂
Ubingwa tutakaochukua mwaka huu utakuwa mzuri sana kwetu...Sielewi ni kivipi Chelsea hajaungana na Spurs kwenye relegation kule. Tukisema timu mbovu tunaanzns kuambiwa Caicedo mzuri kuliko Rice
Na wakifungwa next week itakuwa ni hatatiHii lazima iwe memes ya dunia nzima 😂
Mzee anamnywa asenyonyo mdogo mdogo.Arsenal inachekesha kama sio timu yako.
View attachment 3571564
Mna 20mbwaKwahy yule mzee anawakunywa Arsenyembo kwenye kopo la maji au anamaanisha Arsenyembo labla mshinde kopo la maji? 😂
Intelligent businessman umemuona mzee wa busara?
Hilo neno tunapanua gap ,next week litakukosti jomba 🤔Arsenal ubingwa wetu upo wazi
Next week tunamkanda man city, tunapanua gap.
laZima na man city ata drop points.
Hii ndo league
Anyway: chelshit matako yenu
Mkuwa katika harakati za kupanua gap, angalieni msipanuliwe nyie.Arsenal ubingwa wetu upo wazi
Next week tunamkanda man city, tunapanua gap.
laZima na man city ata drop points.
Hii ndo league
Anyway: chelshit matako yenu
Anafungwa Chelsea analia ArtetaWanaoamini / kujua kuwa msimu huu EPL ni yetu gonga like hapa
Hii comment nitaifukua siku tunanyanyua NDOO
View attachment 3571266
Utajua mwnyw 😂Mna 20mbwa
Mnapanua au sio 😂Arsenal ubingwa wetu upo wazi
Next week tunamkanda man city, tunapanua gap.
laZima na man city ata drop points.
Hii ndo league
Anyway: chelshit matako yenu