Ndoa inategemea ww muhusika unaitaka ya kawaida au ya misifa hapo ndio kuna mi stress kibao kama yangu ilikua ya simple sana kama yangu ilikost 300,000/=tu wageni kama kumi hiyo haihusiani na pete
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo vizuri hata ulaji wake wa Marita poa ila ukinyoosha mguu kuanzia 80km/ph inaanza kujiachia pia ipo comfortable sana spear zipo tele
Sent using Jamii Forums mobile app
wakuu Nairobi zipo nyingi angalia olx Nairobi.pia hebu jaribuni Ku Google simu inaitwa g5 nzr sana ni likuta zipo Lilongwe Kwa kwacha 40000 hapo zidisha Mara 37 una pata tsh yetu.
Hata huku moshi zipo wanachimbia chini,tu penye mito ndio wana pitisha juu ktk vijinguzo vidooogo!!!!kama ni 4g poa maana huku moshi kuna maaeneo tunaenda kutega ndio tupate H+ ile ya airtel....kazi kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.