Mbeya hawajui kabisa nyama choma

Mbeya hawajui kabisa nyama choma

Wanaume wa kinondoni bhna....
Yani umekutana na kuku orijino unasingizia hawana viungo sema huna meno umezoea broila ndugu kuku wa mbeya huna haja ya kurembea na make up ili upate radha
Katika biashara zangu huwa nafika mikoani.
Mkoa mmoja nafika natembelea ni Mbeya.
Kwa mara tofauti nikaulizia sehemu ya nyama/kuku choma nikaambiwa Carnival (karibu na Mafiati,Mwanjelwa) na Mbeya Pazuri, Sae kuelekea Uyole.

Nilikuwa Mbeya Pazuri wiki iliyopita.

Sehemu zote hizi kuku choma nilizoagiza ni mbaya, mbaya, mbaya mno.
Kuku hajapakwa viungo wala vilainishi nyama na ana shombo.

Nyama inatiwa kwenye mafuta yaliyo chemshwa na kutolewa hivyo hivyo.
Nyama ngumu kama manati.

Mbeya mkoje lakini?
Chakula kinatoka huko kuja Dar lakini hamjui kupika.
Wadau huko tupeni sehemu nzuri kwa vitafunwa na moja baridi.
 
Nyama choma ipo korogwe pale muembeni. Mombo wapumbavu Sana. heshima kwa wateja hawana, wanagombana na kutukanana pia wanapunja Sana.
 
sijui vipi ila mimi nilipelekwa sehemu kama mbili zote fantastic misosi yake moja nakumbuka kama 501point or something nyinngine sihyi city nini sikumbuki kwa kweli ila misosi ya choma choma mbuzi kuku ngombe ilo sawa sana
 
Katika biashara zangu huwa nafika mikoani.
Mkoa mmoja nafika natembelea ni Mbeya.
Kwa mara tofauti nikaulizia sehemu ya nyama/kuku choma nikaambiwa Carnival (karibu na Mafiati,Mwanjelwa) na Mbeya Pazuri, Sae kuelekea Uyole.

Nilikuwa Mbeya Pazuri wiki iliyopita.

Sehemu zote hizi kuku choma nilizoagiza ni mbaya, mbaya, mbaya mno.
Kuku hajapakwa viungo wala vilainishi nyama na ana shombo.

Nyama inatiwa kwenye mafuta yaliyo chemshwa na kutolewa hivyo hivyo.
Nyama ngumu kama manati.

Mbeya mkoje lakini?
Chakula kinatoka huko kuja Dar lakini hamjui kupika.
Wadau huko tupeni sehemu nzuri kwa vitafunwa na moja baridi.
ww unapenda nyama za kupaka rangi? kuku wa kisasa anakuaje mgumu kwa mfano yan mm nikiwa huku dar napata tabu sana kula kuku au mishikaki wanalainisha inakuwa kama ugali alaf viungo vingi kuliko nyama yenyewe bado marangi mengi eti kuku anakua wa njano ni utoto wa waziwazi kikubwa kila sehemu na culture yake so usitake watu wamkoa flani wale kama wa mkoa flan

Sent from my CPH1903 using JamiiForums mobile app
 
Karibu mbeya
Jiji zuri na chakula kibao .
Uliza wenyeji .
Ukiona hawajuie njoo uchome wewe sisi by nature sio wafugaji ni wakulima.
Changamkia fursa kama una ujuzi
watu wa mbeya hawawezi kula kuku za kupakwa rangi labda walogwe nyama laini kama ugali hainaga ladha viungo vingi kuliko mboga yenyewe ni mapishi ya dar hayo

Sent from my CPH1903 using JamiiForums mobile app
 
Hamna cha Soweto Wala Nini nyama choma wako sifuri anakupotezea muda tu huyo.Kwenye nyama choma mbeya mjini Ni janga la kitaifa wako sifuri
Kuna muda ukiwa hujui kitu vizuri, jitahidi kutulia na kuuliza vema...inaitwa busara..
 
Kama umezoea misosi ya daslamu huwezi kuridhika na misos inayopikwa mikoa mingi ya Tz kama iringa mbeya, rukwa dodoma nk
Kuna ukweli mfano pilau la hiyo mikoa ukiila wewe shujaa.Hawajui kupika kabisa pilau
 
mkuu habari,
mbeya wachomaji nyama ni wachache,
kuna jamaa anaitwa 501 soul food, wapo mjini uhindini karibia na bhojan duka madawa..
hawa huwa wanahost nyama choma pia once a week,kila jumamosi ya mwisho wa mwezi...
 
Wanaume wa kinondoni bhna....
Yani umekutana na kuku orijino unasingizia hawana viungo sema huna meno umezoea broila ndugu kuku wa mbeya huna haja ya kurembea na make up ili upate radha
Watu waliozoea kula misukule ya kuku utawajua tu.
Kupika nako somo.
 
Katika biashara zangu huwa nafika mikoani.
Mkoa mmoja nafika natembelea ni Mbeya.
Kwa mara tofauti nikaulizia sehemu ya nyama/kuku choma nikaambiwa Carnival (karibu na Mafiati,Mwanjelwa) na Mbeya Pazuri, Sae kuelekea Uyole.

Nilikuwa Mbeya Pazuri wiki iliyopita.

Sehemu zote hizi kuku choma nilizoagiza ni mbaya, mbaya, mbaya mno.
Kuku hajapakwa viungo wala vilainishi nyama na ana shombo.

Nyama inatiwa kwenye mafuta yaliyo chemshwa na kutolewa hivyo hivyo.
Nyama ngumu kama manati.

Mbeya mkoje lakini?
Chakula kinatoka huko kuja Dar lakini hamjui kupika.
Wadau huko tupeni sehemu nzuri kwa vitafunwa na moja baridi.
We mtu unataka Nyama choma halafu unaenda sehemu wanazouza nyapu..eti nikaenda Mbeya Pazuri na Carnival!! Are you sane bro? Hizo ni sehemu za kununua tungi na Malaya, siku nyingine uliza wenyeji
 
Katika biashara zangu huwa nafika mikoani.
Mkoa mmoja nafika natembelea ni Mbeya.
Kwa mara tofauti nikaulizia sehemu ya nyama/kuku choma nikaambiwa Carnival (karibu na Mafiati,Mwanjelwa) na Mbeya Pazuri, Sae kuelekea Uyole.

Nilikuwa Mbeya Pazuri wiki iliyopita.

Sehemu zote hizi kuku choma nilizoagiza ni mbaya, mbaya, mbaya mno.
Kuku hajapakwa viungo wala vilainishi nyama na ana shombo.

Nyama inatiwa kwenye mafuta yaliyo chemshwa na kutolewa hivyo hivyo.
Nyama ngumu kama manati.

Mbeya mkoje lakini?
Chakula kinatoka huko kuja Dar lakini hamjui kupika.
Wadau huko tupeni sehemu nzuri kwa vitafunwa na moja baridi.
Kumbe kuna fursa wakaskazini tusogee sio
 
We mtu unataka Nyama choma halafu unaenda sehemu wanazouza nyapu..eti nikaenda Mbeya Pazuri na Carnival!! Are you sane bro? Hizo ni sehemu za kununua tungi na Malaya, siku nyingine uliza wenyeji
Hivi kuna vibao vinaonyesha hapa wapata nyapu a.k.a K Vant ,na kibao kinaonyesha sehemu ya nyama choma nzuri?
 
Wanaume wa kinondoni bhna....
Yani umekutana na kuku orijino unasingizia hawana viungo sema huna meno umezoea broila ndugu kuku wa mbeya huna haja ya kurembea na make up ili upate radha
Mmezoea kula kuku waliotoka kupiga kwata!
Badilikeni muendane na dunia ya kisasa.
 
Mkuu wala usisumbuke Mbeya hawajui kabisa kupika naona wewe umerudia hapo kwenye nyama choma........... Wali ndizi bado sana mno. siku nyingine jaribu pale City pub ingawa nao ni wale wale tuu
 
Wewe unaongea nini wewe tuache na vyakula vyetu sisi tumezoea hivyohivyo na ugumu na harufu yake usituletee mambo ya Pwani...
Kama vipi uwe unatoka nao Dalisama narudia tena utuache na paradiso yetu
Kwanza bado haujajua sehemu za kwenda kula unavyovihitaji kwa hiyo we bambana tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom