I wish ifike 1200 kama miaka ileee
Ni kama kifaranga wa kuku kusubiri nyonyo kwa mama yake!
I wish ifike 1200 kama miaka ileee
I wish ifike 1200 kama miaka ileee
Mungu ni mwema nilikuwa naweweseka ile mbaya nimeagia kabajaji sasa nilikuwa nafikiria kakifika bandarini wangenikamua mbaya
Ni kama kifaranga wa kuku kusubiri nyonyo kwa mama yake!
Leo asubuhi ilikuwa 1900 and now imekuwa 2050.
Wonderful
Wewe ndio huelewi. Ina maana Shilingi imepanda thamani kwamba uwezo wake wa kununua chochote ni mkubwa zaidi sasa kuliko hapo awali. Kwa kutumia mfano wako huo kama ilikua ununue tractor moja kwa hizo Sh. 3,300,000= sasa utahitaji . Tshs 2,880,000 tu kulinunua. What a saving!
Tunataka ipande!!!!!
Mwanangu naomba unipe website ya kuagizia hyo bajaj,mi nina ufahamu kwa upande wa magari tu