Vietel Tanzania, mtandao mpya wa Simu

Vietel Tanzania, mtandao mpya wa Simu

vietel wameanza na analogi haya mambo ya kusambaza nguzo yamepitwa na wakati. Minara yao mingi ni fut 2 hawa wameshindwa kabla awajaanza

Wewe kweli ni twatwatwa aka mizwazwa, minara yao ni mirefu pengine kushinda mitandao yote Tanzania
 
Nasoma mara kadhaa sipati nia na dhumuni lako ...
matapeli wengi huwa na maelezo kama ya kwako ila mwisho wa siku utendaji huja kujaa wizi na ulaghai kibao. kama huamini ngoja wauzindue ....fungua tuuuone...yaliyomo


Mbona Viettel wametangazwa sana na ni kampuni ya kihalali kabisa ya kutokea Vietnam, na Kikwete alikwenda kuonana nano na kuwarai wafunguwe kampuni Tanzania ili kuzidisha ushindani kwani huduma zao ni bei nafuu kabisa.

Hivi huwa mnasoma hata magazeti au habari za Tanzania au mnakurupuka kupinga tu kila kitu?

Wasome hapa: Say it your way
 
vietel wameanza na analogi haya mambo ya kusambaza nguzo yamepitwa na wakati. Minara yao mingi ni fut 2 hawa wameshindwa kabla awajaanza

[h=3]Company News Alert - Positive Outlook For Viettel Tanzania Venture - JAN 2015[/h] Middle East & Africa November 2014 / Tanzania / Industry
BMI View: Tanzania 's fragmented market presents a different kind of competitive environment for Viettel in Sub-Saharan Africa . The operator must define and implement the right strategies to gain a foothold in the mobile market and to ensure it captures growth opportunities and mitigate s inherent risks .
In October 2014, Vietnam-based Viettel won a concession to build and operate a 3G network in Tanzania. Viettel will start building its national network on November 1 and is expected to launch commercial mobile services in July 2015, according to Tanzania's deputy communication, science and technology minister, January Makamba. Viettel plans to focus on rural areas, connecting around 4,000 villages currently without a telephone network to mobile services by 2016. The operator would also deliver fibre-optic connectivity to 150 district hospitals, 150 district government offices, 65 post offices and 500 secondary schools as part of its agreement with the government. Viettel's data services would be supported by a 13,000km fibre-optic cable it plans to build in the country.
Viettel initially entered the Tanzanian mobile market with the acquisition of mobile licensee Epocha and Golden Ocean Tanzanie Ltd (Egotel) for USD18mn in October 2012 ( see 'Viettel Will Shake Up Mobile Market', October 8 2012). We suspect Viettel's 3G concession is a follow-up to that deal, which also included plans to invest around USD337.7mn to deploy its network infrastructure.
 
Vietel babalao karibu utukomboe toka utumwani mwa akina voda na shemeji zao
 
Vietel ni mtandao mpya wa Simu kutoka Vietnam ambao unatarajia kuzindua Huduma zake Septemba mwaka huu,mtandao huu kwa sasa wanakaribia kukamilisha zoezi la kutandaza minara nchi nzima.

Vietel ni mtandao ambao unatumia kasi ya 3G na 4G lakini pia garama ya mawasiliano itakua chini kabisa ambapo kila mtanzania atakua na Uwezo Wa kumudu mawasiliano bila tatizo.

Viatell inatarajia kuleta Simu zao za smartphone ambazo watauza kwa bei nafuu kabisa ambapo Simu ya laki mbili wao watauza elfu thelathini.

Viatell itapatikana nchi nzima vijijini na mijini kwa kasi ile ile na ubora ule ule.

Watanzania sasa mmepata mtandao mzuri na wenye faida.

Kwaheri Vodacom, Tigo na airtel

Hawa jamaa na MABAHILI DUNIA NZIMA walipo kua wanatafuta maeneo yao ya kuweka minara yao wanataka wapongishiwe kwa elfu 50 dah a harafu mjini kama mbeya isitoshe wanataka kwa miaka kumi duh ! Voda tigo na airtel wanapanga kwa lak 4 mpaka 6 kwa mwezi sasa hawa nguruwe viatel kwa elf 50 sotanunua liline lao hata iwaje maana ni washenzi sana na wameeadhurumu watanzania wengi sana ardhi
 
Vietel ni mtandao mpya wa Simu kutoka Vietnam ambao unatarajia kuzindua Huduma zake Septemba mwaka huu,mtandao huu kwa sasa wanakaribia kukamilisha zoezi la kutandaza minara nchi nzima.

Vietel ni mtandao ambao unatumia kasi ya 3G na 4G lakini pia garama ya mawasiliano itakua chini kabisa ambapo kila mtanzania atakua na Uwezo Wa kumudu mawasiliano bila tatizo.

Viatell inatarajia kuleta Simu zao za smartphone ambazo watauza kwa bei nafuu kabisa ambapo Simu ya laki mbili wao watauza elfu thelathini.

Viatell itapatikana nchi nzima vijijini na mijini kwa kasi ile ile na ubora ule ule.

Watanzania sasa mmepata mtandao mzuri na wenye faida.

Kwaheri Vodacom, Tigo na airtel

Vietell lazima wachemke.
Vietell ni wababaishaji tu.
Biashara ya mitandao ya simu ni voda,airtel na tigo.
Wengine wote watakuja na kuondoka.
Miaka miwili mitatu ijayo Vietell watakua historia.
 
Mbona Viettel wametangazwa sana na ni kampuni ya kihalali kabisa ya kutokea Vietnam, na Kikwete alikwenda kuonana nano na kuwarai wafunguwe kampuni Tanzania ili kuzidisha ushindani kwani huduma zao ni bei nafuu kabisa.

Hivi huwa mnasoma hata magazeti au habari za Tanzania au mnakurupuka kupinga tu kila kitu?

Wasome hapa: Say it your way

Tatizo lako we ni mtu wa back office.
Unasoma sana na tatizo lako kubwa ni kuamini kila unalosoma.
nakuhakikishia katika mabandiko yote unayoyasoma kwenye vitabu au internet 80% ni cooked information.
waulize wasomi na waandish wa kisasa wa sku hizi kama wanahangaika tena kutafuta taarifa na kufanya research za kweli. maandiko yao na research zao zote ni za kuforge. kazi yao ni kujifungia ndan kupika data na kutunga habar
Ukitaka kuwajua vizur Viettel tuulize sisi tuliowah kufanya nao kazi long time kabla hata hawajalease hata eneo moja la kujengea minara. kabla hata hawajapata ofis pale mikochen reagent estate....
I know Vietel inside out.
Ukitaka kupata taarifa sahihi come out stop hiding behind the laptop monitors
 
Tatizo lako we ni mtu wa back office.
Unasoma sana na tatizo lako kubwa ni kuamini kila unalosoma.
nakuhakikishia katika mabandiko yote unayoyasoma kwenye vitabu au internet 80% ni cooked information.
waulize wasomi na waandish wa kisasa wa sku hizi kama wanahangaika tena kutafuta taarifa na kufanya research za kweli. maandiko yao na research zao zote ni za kuforge. kazi yao ni kujifungia ndan kupika data na kutunga habar
Ukitaka kuwajua vizur Viettel tuulize sisi tuliowah kufanya nao kazi long time kabla hata hawajalease hata eneo moja la kujengea minara. kabla hata hawajapata ofis pale mikochen reagent estate....
I know Vietel inside out.
Ukitaka kupata taarifa sahihi come out stop hiding behind the laptop monitors

Sasa wewe usichokiamini hapo ni nini? kuwa Viettel haipo au vipi? hueleweki.

Naona unahororoja na kubwabwaja bila mpango.
 
Vietel ni mtandao mpya wa Simu kutoka Vietnam ambao unatarajia kuzindua Huduma zake Septemba mwaka huu,mtandao huu kwa sasa wanakaribia kukamilisha zoezi la kutandaza minara nchi nzima.

Vietel ni mtandao ambao unatumia kasi ya 3G na 4G lakini pia garama ya mawasiliano itakua chini kabisa ambapo kila mtanzania atakua na Uwezo Wa kumudu mawasiliano bila tatizo.

Viatell inatarajia kuleta Simu zao za smartphone ambazo watauza kwa bei nafuu kabisa ambapo Simu ya laki mbili wao watauza elfu thelathini.

Viatell itapatikana nchi nzima vijijini na mijini kwa kasi ile ile na ubora ule ule.

Watanzania sasa mmepata mtandao mzuri na wenye faida.

Kwaheri Vodacom, Tigo na airtel

Nimeshuhudia njia nzima tangu Dar hadi Tunduma,Zambia njia yote hadi Drc wakisambaza cable,huenda ikaleta mapinduzi makubwa katika mawasiliano hasa kwa maeneo ambayo mitandao mingine haipatikani
 
karibuni sana nimechoshwa na tigo mpaka basi kila siku network sijui nini mara napigiwa naambiwa sipatikani duu karibuni
 
http://teknokona.com/2015/06/30/fahamu-kwa-nini-mtandao-wa-mpya-wa-simu-wa-viettel-unaogopeka-wapewa-tuhuma-za-kuhujumu-miundombinu-ya-wengine/
 
Back
Top Bottom