IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,028
- Thread starter
- #21
Weka adharani tujue woteMama habari yako, hebu njoo pembeni kidogo nimegundua wewe ndgu yangu bhna
hakikaWengine tunatofautiana dini na wenza, tunakutana na kisanga hata kabla ya mipango ya ndoa.
inategemea ulioa liniNakumbuka nilikuwa namawazo sana nafikiria huyu binti atakubali kweli?
Kipindi hiko maisha magumu kinoma niliwaza pesa ya kishere kidogo naitoa wap??
Nashukuru Mungu ilipita salama gharama haikuzidi 100000/=
Nakumbuka baada ya ndoa nilihisi kuna mzigo nimeutua..
VP we ilikuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
😊😊😊Mama habari yako, hebu njoo pembeni kidogo nimegundua wewe ndgu yangu bhna
Umeoa mwaka gani mzee baba??
Serious nimegundua Leo wote wajita then tumetoka kiabakari... Halafu mm Hadi namba yako ukizingua nakutafta japo kukucall ni gharama Sana kwa huku niliko
Uuwii wachasugu??Serious nimegundua Leo wote wajita then tumetoka kiabakari... Halafu mm Hadi namba yako ukizingua nakutafta japo kukucall ni gharama Sana kwa huku niliko
Aaaah aaaaHahaaa mkuu hebu nifafanulie hii Tsh 100000/=,uliimeneji vp ikakufankishia jambo hili?,[emoji23][emoji23][emoji23]
Unaweza ukacheka mpaka basi aise
Sent from Nokia 7 Plus
Hata mm sio mjita ila tunatoka wote kiabakariUuwii wachasugu??
Hahah mimi sio mjita jamaniii nakataa kabisaa puliiizzz
AiseeHata mm sio mjita ila tunatoka wote kiabakari
Hahahaha prove me wrong?Aisee
Huweziii hahahaHahahaha prove me wrong?
Sasa nitakucall