Familia anayotoka raia namba moja wa nchi hii huijui?? Umefika level gani ya elimu??
Hebu funguka mkuu...ni familia ya Mtanzania?
Habarini wakuu
Hivi huyu Tycoon na Bilionea anayemiliki hizo hazina hapo ni muhindi au mbongo? Natafuta Ajira na nataka nitume CV kwa HR dept yao,kwani toka nimemaliza chuo mpaka leo hii nasugua tu soli za viatu.
Ni mbongo huyo mzaliwa wa kazikazini
Upo wapi mkuu, umelala usingizi wa pono.
Pesa bila jasho zipo UKAWA, wahi fasta mkuu kabla EL hajaishiwa...
Hazina za risiwani hizo,
Ha haa! Hili ndilo jibu mleta mada alikuwa analitaka. Tangu lini mtaka ajira akataka kujua mmiliki wa kampuni. Kama angekuwa serious na ajira, angeulizia anuani na mahali wanakopatikana...
Mbona naambiwa ni mbongo wa huko bagm.oyo?
hizo panone zipo wapi mkuu.
Ha haa! Hili ndilo jibu mleta mada alikuwa analitaka. Tangu lini mtaka ajira akataka kujua mmiliki wa kampuni. Kama angekuwa serious na ajira, angeulizia anuani na mahali wanakopatikana...
ni Mchaga jamani Patrick ......
Nimeshangaa anataka kwenda kufanya kazi kwenye hazina za watu,si afungue hata mpesa yake kama kianzio?