Mythbuster
Member
- Dec 12, 2010
- 92
- 50
Hiyo Fiber optic cable ya Viatel. Ni kampuni ya Vietnam na inamilikiwa na jeshi la vietnam. Wanaweka hizo cable inchi nzima kwa sasa kwa kasi kubwa.Sehemu nyingine wanachimbia chini na zingine wanaweka juu. Msumbiji wamesababisha watoa huduma wengine wakimbie kwani wameshindwa shindana nao.