Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,346
- 9,889
Bora iwe hivyo. Mafisadi wakubwa hawa
Muongozoooooooooooooooo!!
Wamesikika wabunge wa upinzani na spika kuahirisha bunge wakati waziri wa nishati na madini akisoma muswada wake.
Kwa nini hii miswada inalazimishwa kwa nguvu????
Mie Machali kanifurahisha kumshushua Martha Mlata
Huyu mama sijuw ccm wamefikri mara ngapi kuwa spika, naskia ana kadiploma lakini pia isijekuwa ana stress za kutokuwa na mume
Huyu mama nmekubali kabisaaa wagumba wana matatizo makubwa sana hasa ktk maswala ya kijamiii, Nina mfano mwingine harisi kwa jran yangu,mpka amefukuzwa kazi.
yap muosha uoshwa, alafu wkt wa kuomba mwongozo alilainisha maneno kasema wajinga wkt jamaa alisema vichaa.
nishasema kwasasa hakuna haja ya bunge,livunjwe hiyo miswaada isubirie baada ya uchaguzi