Jamani imetolewa barua Mpya yenye maelekezo kwamba wanohitaji kuhama nje ya mkoa utaratibu umewekwa kama mwanzo kwamba barua ya maombi ya nafasi unakotaka kwenda kupitia kwa wakuu wako wote wa kazi na wa mwisho ni Mkurugenzi wako kisha uitume unakokwenda nako ujibiwe kama nafasi ipo na...
Mi ninayo ina miaka mitatu aisee, za diesel ni shiiida, za petrol ndio magoli engine 3rz zinatembea balaaaa sema tu nyuma hazina balance ni nyepesi na ili ukimbie tia mzigo kwenye boot, sijawahi gusa engine sema kifuani kuna hitaji seevice za mara kwa mara mara ball joint mara hubb ndio hilo tu...
Hata mimi na mke wangu tunaipenda hiyo style, yaani full usingizi, kwanza hata kama ulikiwa huna nyege kwa mlalo huu ikifika usiku wa manane jamaa laazima asimame
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.