Rayban/p
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 1,268
- 916
Huyoo msichana nimdogo sana katokea mtaani kwetuu kakua namuona kasoma ololooo sec. Alizugwa na kipete cha uchumba akazalishwa akatelekezwa kwa babaake ndo akaona fursa anapambanaa. Ilaaa mashauzi yalikuwa on point enz hizoo anatupitaa tuu akiwa na baby daddy wake sahiv sisi ndo tunamuagiza lente kindoo na barafu zakeeNgoja nisindikize post kwa picha