Saudi Albert Bashite[|red]
Mwisho wa msitari andika [ /color]
Neno[/bue]andika hivi;
neno[/COLOR ]
hapo kwenye "green" andika rangi yoyote mfano yellow,gray,blue,red au hata purple,
na sehemu niliyoandika "neno" ndio uandike sasa maneno ambayo unataka yawe na rangi husika. Humo ndani ya mababo usiruke nafasi kabisa, mi nimeruka ili rangi isibadilike.
Saudi Albert Bashite[|red]
Neno[/blue]Neno[/bue]
Unaweza ukaanza hivi (colour//Rangi ya ukindu+damu ya mzee) angalia keyboard yako ina vimishale na neno shift, vibonyeze vyote cha kulia na kushoto bila kuachia utaona neno linabadilika kulingana na rangi uliyochaguaNeno[/bue]
Tumia hiinatumia njia hii ila mwisho neno color lina baki why