Chelsea fans wenzangu, Kuna wakati ufike tukubali kuwa team yetu inamapungufu mengi mno.
1. Tunadefence mbovu kabisa ambayo defenders hawana consistent kwenye game wanazocheza, kila beki kule nyuma anamapungufu mengi. Rjames , Cristinsen, Zouma, Rudiger na Marcos pia.
2. Tusitupe lawama zetu...