Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hahahah.... hivi mnakumbuka nyie mlimuuza Countinho msimu gani? The same kwa sanchez wakati anaenda man u?...

Najua kusajili lazima tutasajili... then hapo ndo tutajua itakuwaje...

Kesi ya Coutinho au VVD ni tofauti na unayozungumzia wewe.

Coutinho Barca walimtaka zaidi ya Madirisha Mawili prior tukawa tunavutana... Same kesi kwa VVD au the so called Sanchez aliyefanyiwa swap.

But nyinyi munaingia sokoni only January then mupate mchezaji muhimu kwenye hiyohiyo January???

Mchezaji muhimu unapomtaka unahitaji kueka Bidding zaidi ya Madirisha mawili na kukataliwa Bidding yako mpaka mukubaliwe.
 
Chelsea has the following options in Round 16
- Juventus
-Barcelona
-Bayern munich
-PSG
-Leipzig

Kila la heri Chelsea
 
Naomba kuuliza ivi kwa anayepigwa kwenye mtoano anaenda futuhi au habari yake ndo inaishia hapo
 
Hongereni sana kwa ushindi wana Chelsea.

Barcelona wapo mlangoni wanawasubiri....

Tupo tayari kukabiliana na timu yoyote tutakayopangwa nayo. Mpira ni burudani mkuu kila timu itaingia uwanjani kwa dhima moja tu kitaka kusonga hatua ya 8 bora so atakayechanga karata vizuri atasonga.

Ivi ninyi si ndiyo mlitabiri kuwa chelsea atakuwa wa mwisho kwenye kikundi au siyo ninyi. Leo mmeanza tabiri ingine🤪🤪🤪🤪
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom