Dammit!

🏴󠁧Chelsea's potential Champions League R16 opponents ⚽

🇫🇷 PSG
🇩🇪 Bayern Munich
🇮🇹 Juventus
🇪🇸 Barcelona
🇩🇪 RB Leipzig

Kazi kweli kweki
 
Dammit!

󠁧Chelsea's potential Champions League R16 opponents

PSG
Bayern Munich
Juventus
Barcelona
RB Leipzig

Kazi kweli kweki
ngoja tuone itakavokuwa.... Ila kama chelsea atafanya usajili january tena hasa ukizingatia UEFA walilegeza sheria kwa wachezaji wanaosajiliwa january, Mambo yanaweza kuwa tofauti...

Japo the truth ni kwamba hapo anayeonekana kuwa na uafadhali ni RB Leizpig.
 
ngoja tuone itakavokuwa.... Ila kama chelsea atafanya usajili january tena hasa ukizingatia UEFA walilegeza sheria kwa wachezaji wanaosajiliwa january, Mambo yanaweza kuwa tofauti...

Japo the truth ni kwamba hapo anayeonekana kuwa na uafadhali ni RB Leizpig.

Timu si rahisi kukuachia wachezaji wao wazuri January.
 
HONGERENI SANA CHELSEA WENZANGU KWA KUFUZU 16 BORA.

Umuhimu wa Joginho umezidi kuonekana kwenye team, Lampard asifanye makosa tena kumpiga bench na kumpanga poor Mount.

Pia muda mwingine sio lazima kufanya sub ya kumuingiza bishoo Odoi kwenda kucheza show game na kupelekea team pinzani kupata nguvu ya kutushambulia.

Emerson kajitahidi, thank you Rudger, Zouma, thank you all player.

Sasa Kwa hali ya ukuta wetu pale nyuma + kipa wetu mpendwa Keppa, Mungu atuepushe na kikombe cha BARCELONA NA PSG.

Rb Leipzig, Bayern na Juve tunaweza kulala nao mbele kwa mbele.
Mkuu buyern hapana uefa wanacheza kama vita ,kwenye ligi wanafanya rotation ya kikosi kila week ila uefa kikosi kazi ,ila Juve wanawezekanika
 
Mkuu buyern hapana uefa wanacheza kama vita ,kwenye ligi wanafanya rotation ya kikosi kila week ila uefa kikosi kazi ,ila Juve wanawezekanika
Juve kuna Higuain na Dybala... hao watu kosa moja tu hawakurembi....
 
Niongelee goli la Tammy Abraham
Goli linaonekana very simple lakini magoli kama hayo hayawezi kutokea kwa wafungaji wasiojua kujiweka kwenye mkao wa kufunga magoli kama yale. Washambuliaji wengi wanakosa hizo fursa kwa krosi safi kama hizo za Willian kwa sababu wanashindwa kuwa kwenye position husika ontime. Moja ya advantage ya Abrahama hata akaweza kufunga magoli 26 kule Championshio ni uwezo wake wa kuwepo mahala husika kwa muda muafaka, iwe ni krosi pasi au dead balls yeye huwahi. Kwa mtaji huu kimzahamzaha utamuona Tammy akitumbukiza magoli 30-40 mwishoni mwa msimu kwa mashindano yote
Na pia tumeona ubora wa Willian kwenye deep enetrations ambazo ndizo zinazompa umaarufu tofauti na wabaya wa Willian wanaomu downgrade kwa sababu ya magoli na assists chache. Ndio amana Barcelona wanamfukuzia Willian, ni mtu muhimu sana kwa Chelsea

Azpi naye anamsaidia sana Tammy, what a wonderful captain
‘For me it was just about getting in the box, this guy’s [Azpilicueta] always telling me “run across the goal” and that’s whay I did, luckily for me I was in the right place at the right time.’
 
Timu si rahisi kukuachia wachezaji wao wazuri January.
Wachezaji wasio na furaha na ukijumlisha na BIG money wanaondoka vinginevyo watabaki kuwa mizigo. Mfano Jadon hana Furaha kwa sababu ya kutoelewana na kocha wake
 
Lampard transfer hints to replace Eden Hazard
Baada ya mechi ya jana na Lile Lampard aongelea kuhusu usajiliw a Januari, 2020

"I think it will be very fluid and there will be discussions from now about how we will strengthen," Lampard told BT Sport.
"We lost a lot of goals and creation with Eden last year, in his particular position.
"We missed some chances and we can probably push and look at strengthening in those areas."
 
Juve kuna Higuain na Dybala... hao watu kosa moja tu hawakurembi....
Higuaín bado frequency yake ya kufunga iko poor, hata Dybala na Ronaldo pia kapungua mwaka huu. Sarri anaweza asimalize msimu, mfumo wake rigid umeanza kuiadhiri timu,
Higuaín mechi 13 goli 4 na assists 3
Dybala mechi 13 goli 4 na assists 1
CR7 mechi 12 goli 7 na assists 1
 
Back
Top Bottom