Recent content by mbongokazi

  1. mbongokazi

    Looking for a partner for marriage

    Please my get your number I am ready to marry you!
  2. mbongokazi

    Kwanini scientists (wanasayansi) hatuamini katika Mungu?

    A Nakupongeza kwa jibu zuri. Mungu yupo ni Mtakatifu wa Watakàtifu Muumba mbingu na dunia na vitu vyote vinavyo onekana na visivyo onekana. Binadamu tumeumbwa nae na kwa mfano wake. Yeye ni mwanzo na mwisho wa kila kitu. Atawahukumu wazima na wafu na ufalme wake hauna mwisho. Swali kwa mtoa...
  3. mbongokazi

    Mchumba mchumba mchumba mke

    Umri miaka 20 hadi 30 Sura yoyote Umbo lolote Mbinti au mtaraka/mjane Elimu : Ajue kusoma na kuandika hadi çhuo kikuu Awe na nidhamu Msafi na kujipenda Dini yoyote Asiwe na magonjwa ya kuambukiza Urefu wowote. Asiwe mremavu wa aina yoyote ile. AWE AMEJIAJIRI AU AMEAJIRIWA MKAAZI WA DAR ES...
  4. mbongokazi

    Mchumba mwanadada unafutwa

    Ni PM
  5. mbongokazi

    Mchumba mwanadada unafutwa

    Ok
  6. mbongokazi

    Mchumba mwanadada unafutwa

    Umri miaka 25 hadi 28 Elimu Digrii ya kwanza au ya pili Awe mjasiriamali au mwajiriwa Awe mkazi wa dar Awe na upendo wa dhati. Asiwe na mtoto. Awe na afya njema awe amepima ukimwi na magonjwa ya zinaa! Ni PM unipe namba yako
  7. mbongokazi

    Why Black People and White People? (Kwanini kuwe na Mtu Mweusi na Mtu Mweupe?)

    Evolution takes centuries and centuries as such you can not witness changes in the same century which you are living in!
  8. mbongokazi

    Ventilation on MCC move is primed on wrong assumptions

    It is high time we think ,identify our priorities as a nation and not as manority for the expence of the majority. Our nation has a long way to go! We are still on the planet earth led by almost everything by developed countries. Therefore, we as a nation we can not live in isolation aganst...
  9. mbongokazi

    Zoom Tanzania Wanashirikiana na Matapeli??

    Shirikisha kampuni ya simu yenye mtandao huo wao wananamna ya kumtafuta na kumpata kwa njia ya teknojia ya mtandao ya simu. Lakini acha kutoa hela kwa MTU usiyemfahamu wala kujua ofisi yake ilipo.
Back
Top Bottom