Ventilation on MCC move is primed on wrong assumptions

Ventilation on MCC move is primed on wrong assumptions

Lakini mbona uchaguzi wa zanzibar unamhusu January Makamba? Akiwa kama waziri wa JMT ,kumbuka yeye sio mzanzibari, alikwenda kusimamia uchaguzi wa marudio. Wacha unafiki wako wa kijinga jinga.


Sent from my SM-G920W8 using JamiiForums mobile app


Suala la MCC halihusiani na Zanzibar wala cyber law. JPM hahusiki na yote mawili. MCC imechukua hatua hizo kwa sababu ya mwelekeo wa serikali mpya wa kutaka kuijenga nchi.
 
Alichoandika Muufuruki ndio msimamo wa MCC.

Katiba ya muungano hairuhusu Tanzania bara au raisi wa muungano kuingilia uchaguzi wa Zanzibar sababu uchaguzi wa Zanzibar si jambo la muungano.Hata sheria ya uchaguzi ya Zanzibar hairuhusu hilo.Hao MCC na akina mufuruki wanataka serikali ya muungano iingilie kati wakati wakijua kuwa kufanya hivyo ni kuvunja katiba ya nchi.Raisi hawezi vunja katiba na sheria ya uchaguzi zanzibar ili kuwafurahisha akina MCC na vibaraka wao.
Unajua maana ya usuruhishaji wa migogoro?

Kama pande mbili zinazikinzani zimeshindwa kupata muafaka lazma aingie kati yao mtu wa kuintervene. Na ndio mantiki ya Mufuruki kutaka Tanganyika isaidiane na Zanzibar kupata muafaka.

Tanganyika na Zanzibar ni kitu kimoja na nafikiri kupitia hili la MCC umeanza kuona kuwa tukidhani "wao" wataumia peke yao ni kujidanganya. MCC walikubaliana na Tanzania si Zanzibar wala Tanganyika.
 
Wewe mzee muda mwingine bora ukae kimya ulinde heshima yako ,ina maana yote aliyo andika hapo ni swala la kuwanyenyekea wazungu ? Hebu rudi soma tena ,hivi wewe unaweza kumkosoa Magufuli baada ya kukusifia ??
Mkuu hawa ndio akina wale wa toilet papers.

Sent from my SM-G920W8 using JamiiForums mobile app
 
By Ali Mufuruki; alimufuruki@infotech.co.tz

I have read some articles by concerned members of the public, government officials and politicians about US government’s recent decision to suspend all relations between our government and the Millennium Challenge Corporation (MCC).

Sadly, however, articulate as some of these statements are, they miss the simple point that the world is not as simple and as straightforward as the writers/speakers seem to assume.

They also seem to suggest, unfairly in my opinion, that we Tanzanians bear no responsibility for what has happened and are mere victims of imperialist bullying by the mighty United States, but the truth is much more complex than that.

I have been arguing since this matter came up that, smart diplomacy is the only way to go in today’s complex world. Our diplomatic institutions have been caught napping by this predictable decision by the US. They should swing into action rather than resort to mere complaining and passing blame.

Without pointing an accusing finger at our intelligence and diplomatic institutions, in all fairness, our government should have anticipated the (US) reaction. The Americans more or less telegraphed their reaction with a threat to suspend relations, when the Escrow scandal broke out early last year. This was in connection with an MCC covenant in fighting against corruption in government institutions.

The government knew or should have known how MCC would respond to its handling of the Zanzibar election stalemate and taken necessary pre-emptive steps such as engaging the Americans and other partners immediately after it became clear we were going to have an electoral crisis.

I will not dwell on the disagreement over the cybercrimes law because in my estimation it is a mere red herring.

We should have demonstrated to the Americans and the whole world that the Zanzibar problem, while complicated, is firmly under control and a solution will be found, but it will take time and the world must work with us, not against us.

I have no doubt in my mind that this alone would have gone a long way in reassuring our partners and even various constituencies at home that serious efforts are being made to resolve the problem at hand and we would have secured the much needed political space to deal with this delicate matter internally in an atmosphere of calm without all attendant economic and political pressures that now seem inevitable.

It is a well-known fact that relations between nations are driven by interests not emotions. We should, therefore, not be surprised if the US leverages its considerable financial muscle to achieve its foreign policy objectives, including, but not limited to wanting to be an influential player in a region that is quickly becoming very interesting in the wider global geopolitical context.

Our reaction to this MCC announcement, therefore, should not be one of indignation and surprise, but rather, we should pick up a phone or dispatch our diplomats to Washington, Brussels, Beijing and Tokyo, clarify our position, name the red lines that cannot be crossed, but also ask our partners to be reasonable and supportive of our efforts to resolve our problems.

It is understandable that some people are offended by the hypocrisy and double standards of the US, but we must also understand that the US has never had any problems being called out as a hypocrite. It has never stopped them from doing what they do, be it the unjust 50 yearlong economic embargo of Cuba or the false claim of weapons of mass destruction in Saddam Hussein’s Iraq 15 years ago.

We must be smarter than that and we can learn about how to deal with people you are in disagreement with from none other than the US itself.

A good example is that although President Obama cannot stand his Russian counterpart Vladimir Putin, he calls him regularly to discuss important matters of state. He even keeps the infamous red phone in his office desk and on his bedside table in case of that unthinkable eventuality. He calls him even when they are in violent disagreement on ways of resolving ongoing global conflicts such as the one in Syria or Ukraine.

The MCC event is bigger than the money involved. Our failure to comply with the covenants we voluntarily agreed to, is a sign of weakness not strength. It is an admission that we have slipped on the governance scale even by our own standards. It will have consequences beyond the loss of the money being offered under the compact both locally and internationally.

Even if we did not need financial assistance for our development, we would need to maintain good relations with the likes of US, UK, China and EU if we want to avoid unnecessary disruptions to our development plans.

More importantly, however, we must ask ourselves if the decision to reject the MCC funds under these circumstances has the support of the majority of our people and the rights of some of our fellow citizens are not being sacrificed in the name of sovereignty and political expediency.

And while I wish it was not the case, Tanzania doesn’t have sufficient resources to fund all its ambitious development plans using internal sources even if we managed to stop all forms of tax evasion.

And running to the Chinese is not a sustainable solution in the long run. For all I know we will soon reach the ceiling of the debt we can sustainably take from the Chinese if this has not happened already.

The writers of various articles may be right when they claim that our relationship with the US cannot be defined by the MCC alone, but they are terribly mistaken if they think the US will leave us alone simply because we have decided to forgo the MCC money. That’s not how the world works.

We can be as certain as the sun will rise tomorrow that other development partners will soon follow in the footsteps of the US and the implications for us will become significant very quickly.

And let us be honest, Zanzibar is a real problem that requires urgent fixing. These recent elections were a terrible error of judgment. Soon we will see Dr Ali Mohamed Shein struggling to rule by himself in a country, whose Constitution assumes the government will always be made up of the two main political parties.

Now we have no opposition party based on the election results of March 20 and, of course, CCM has the numbers to amend the Constitution to enable it to govern, but such a move would deepen the crisis, not alleviate it.

I wrote a piece last year suggesting that the Zanzibar issue is too complex to be resolved through a one-man-one-vote solution. I also said that Tanzania Mainland could not stay out of the Zanzibar problem because for better or worse, for we are one and the same country.

A negotiated outcome would not have been a perfect solution to the election crisis in Zanzibar, but it would definitely have been better than the sham elections we just had. There was no rush to do this election because Dr Shein was constitutionally in office back then. Now, however, his legitimacy is shaky and he has become part of the problem - not the solution.

My hope is that when JPM takes over as chairman of CCM he will appoint a CCM leader in Zanzibar and on the mainland that can work with CUF and other opposition parties to bring peace and tranquillity back to the Isles.

I also hope that this new leadership will have wise answers to many pertinent questions that are being asked about the Union between Tanganyika and Zanzibar on both sides of the Union.

As for the MCC, we need to engage the Americans and push for the restoration of relations as soon as possible. Americans no doubt have an agenda, but that doesn’t mean we shouldn’t have our own, because that is how the world works.

Mr Mufuruki is Chairman & CEO, Infotech Investment Group and co-founder and chairman of the CEO Roundtable.
================================================
My take:
serikali kuwakorofisha international partners, na sasa kui-disappoint hata business community (a key source of tax revenue) ndiyo mwanzo wa kutengeneza lile anguko kuu.
i only pray kuwa hatuta-end up kuwa DRC nyingine!
It is high time we think ,identify our priorities as a nation and not as manority for the expence of the majority. Our nation has a long way to go! We are still on the planet earth led by almost everything by developed countries. Therefore, we as a nation we can not live in isolation aganst developed countries. A river always flows its water from highland to low land AND not the opposite.
 
Ali Mufuruki, ndiyo jina lake...ameandika vizuri na points zake ni appealing, lakini this man is a capitalist and pro western countries. Asingeweza kuandika otherwise. The Americans will be enjoying...reading this article, which to them is a master piece, and it is, anyway in the eyes of supporters. That is, we have to engage the Americans and kneel to them to "to push for the restoration of relations as soon as possible". Mufuruki ni mnufaika wa mfumo uliokuwepo kabla ya Utawala huu. JPM, my President, ana kazi kubwa mno. We have to continue praying for him.
Mkuu tatizo lako ni umri wako. Naona bado unawaza zile ndoto zako za part supremacy. Bahati mbaya ni kwamba sera zako za ujamaa na kujitegemea ulizojifunza pale kuvukoni zimepitwa na wakati na wala hazitufai kwa dunia hii ya sasa ya utandawazi. Whether you want it or not, as far as the Zanzibar issue is concerned, Magufuli messed up there. Let me tell you that not all Tanzanians are going to pray for him for what he has done to our fellow Zanzibarians.

Sent from my SM-G920W8 using JamiiForums mobile app
 
Ndio maana akawa na mafanikio ya kibiashara pia; in any uncertain position you have to anticipate and prepare to all outcomes. Iwe diplomatic relations, financial losses and all other options have to be tabled to their anticipated outcomes.

Marekani leo kila mtu mwenye akili timamu anaona what is wrong with Donald Trump's politics hakuna mtu anaezielewa siasa zao anaweza kubali eti taasisi zingine zitamwacha afanye atakavyo ikitokea miujiza akashinda. But that doesnt stop responsible people to manage their risks ni bora kuwa na mtu asiye na misimao hiyo in the first place ili waendelee na agenda zingine. Mwisho wa siku inakuwa rahisi kupambana naye kwa sababu kila mtu mwenye majukumu ya kupambana naye anatumia nguvu zake yaani wanasiasa majukwaani, vyombo vya habari kulaani maadili ya misingi ya utaifa na wengine wenye influence ya jamii kila mtu kwa upande wake kwa tafsiri ya nini maana ya Marekani (by the time watu wakiamua kumzuia kwa mabavu washajenga kesi ya nguvu ya kuwa huyu bwana ni hatari kwa America) na hizi ndio sababu watu wanaweza kwenda kutandika huko Argentina (Falkland island) kwa madai eti ni kisiwa chao kwa sababu wanatumia muda mwingi sana kuelezea uhalali wa matendo yao kwanza.

Swala la Zanzibar si la kutatuliwa na wanasiasa pekee jamaa inabidi wajipange kwanza kupata public support kama wanasiasa upande wa pili wanavyotumia muda kuongopa. Sasa kama watu wanaweza waacha wanasiasa wafanye mahubiri wanayojisikia kwa miaka mitano, bado una wanachama wa chama chako wanasapoti agenda za hatari kwa taifa wewe umekaa kimya tu halafu utegemee ubadilishe uchaguzi tu kila mwaka madhara yake ndio haya.

Bila ya kutoa somo ndani ao wazungu ata kama wanaona hatari ya siasa za wengine kwa taifa lako they will still exploit that channel kupitia 'carrot stick' inayokufanya uwasikilize; in short usalama wa tanzania ni very weak kuna mambo mengi sana yanafanyika sio sahihi kabisa eti mtu akwambie jamaa wamejipanga.
 
Hawa Ndio wasomi watu, kazi kupamba mabepari.
Muda mwingi wameishi ulaya.
Ndio ma agents wa wakoloni.
Wanaeleweka.
Yaani wakati ule Mufuruki anampigia kampeni Magufuli kwani hamkumuelewa!. It seems to me that his only problem is telling you the truth. Si mumezowea kudanganywa!

Sent from my SM-G920W8 using JamiiForums mobile app
 
Hivi mkuu hapa kumbe pana league?

Sent from my SM-G920W8 using JamiiForums mobile app
Polepole na Ali mafuruki walikua wote kwenye timu ya JPM wkt wa kampeni, ila kwenye suala la MCC polepole anazunguka kwenye media akisema tuko tayari kujitegemea wkt Ali Mafuruki anasema hatujafikia uwezo wa kuanza kujitegemea wenyewe mkuu.
 
Poor you, my sentences were neither majestic nor singular or rather adjectives to qualify the the to be used.

I dream in English, do you?
Seriously Faiza!!!

Sent from my SM-G920W8 using JamiiForums mobile app
 
Yaani wakati ule Mufuruki anampigia kampeni Magufuli kwani hamkumuelewa!. It seems to me that his only problem is telling you the truth. Si mumezowea kudanganywa!

Sent from my SM-G920W8 using JamiiForums mobile app
Alimpigia magufuli campaign akijua kwamba chini ya utawala wa magufuli itakua business as usual..... Kikwete.
Ngosha haangalii mtu usoni.
Halipi fadhila.
 
Tutabadilisha sera zetu za masuala ya Uchumi na Maendeleo na zile za mahusiano na matifa, ama jumuhiya za Kimataifa.

1.Tutahakikisha tunafanya biashara wenyewe.
2.Tutabadilisha utaratibu wa misaada....!Kama wahisani wana nia njema, Tutataka tusaidiwe kupunguziwa deni laTaifa kwa kufuta kiasi kikubwa cha deni hilo...wasitupe ela tena, Kama hawataki kupunguza deni basi watulie kwa miaka kadhaa tuzichange...Mbona sisi makampuni yao tunawapa 'grace period' kabla ya kutozwa kodi?
3.Tunahakisha yeyote aliyesomeshashwa na serikali toka tupate uhuru anahusika moja kwa moja kuhakikisha TUNAJITEGEMEA (Tanzania) ikibidi tutumie nguvu kutimiza hili. Kuna wimbi kubwa la watu walikimbia kiusaidia serikali baada ya kusomeshwa.....!Tutawa'track'
===============
M-mbabe....sasa wewe mbabe gani unaogopa kujitegemea? (Nimechomekea hili)
chief, alishindwa kujitegemea Mugabe ambaye Zimbabwe yake wakati inaanza kuwekewa vikwazo ilikuwa ni more economically advanced kuliko sisi na uchumi wetu huu tia maji tia maji.

tumefikia hapa tulipo pa kuwa taifa tegemezi kutokana na economy mismanagement ya serikali za CCM miongo 3 iliyopita. tumefika pahala hatuna tofauti na changaduoa.

embu niambie, chief....malaya akipigwa kibuti cha ghafla and in the middle of nowhere na mkware, ataanzaje kujitegemea?

tunataka practical solutions ambazo ni exclusively self-reliant. siyo ile ya "akitoka mzungu, no sweat tunaye mchina / mrusi / mwarabu", ambacho ndicho tunaona kinataka kutokea.

CCM have got nothing to lose eventually. the poor Wananchi do.

very unfortunate dilemma.
 
Mkuu tatizo lako ni umri wako. Naona bado unawaza zile ndoto zako za part supremacy. Bahati mbaya ni kwamba sera zako za ujamaa na kujitegemea ulizojifunza pale kuvukoni zimepitwa na wakati na wala hazitufai kwa dunia hii ya sasa ya utandawazi. Whether you want it or not, as far as the Zanzibar issue is concerned, Magufuli messed up there. Let me tell you that not all Tanzanians are going to pray for him for what he has done to our fellow Zanzibarians.

Sent from my SM-G920W8 using JamiiForums mobile app

It is very interesting, What has Magufuli, done for Zanzibar?! MAGUFULI was a presidential candidate in the elections like others (including Maalim Seif, of course). How did MAGUFULI mess up the Zanzibar issue? You tell us, here. What has my age to do with the so called party supremacy? When did I enroll to study at Kivukoni college. Some of the comments are very funny, indeed.
 
Back
Top Bottom