JamiiForums
JF Official Account
- Nov 9, 2006
- 6,202
- 5,012
- Thread starter
- #21
Habari za muda ndugu WanaJF,
Kama ilivyotangazwa awali, kwamba zawadi za simu zitakuwa zimefika Ofisi za Jamii Media, Mikocheni-Dar, kufikia Jumatatu ya tarehe 11 July, 2016 na washindi watapewa maelekezo namna ya kufika na kukabidhiwa zawadi zao.
Tunathibitisha kwamba zawadi hizo zipo tayari na kilichobaki ilikuwa ni kuandaa utaratibu mzuri wa kuzikabidhi kwa washindi.
Kwa wale washindi ambao tumewasiliana PM; tungependa muzingatie maelekezo haya upya ili kuweza kuja kuchukua zawadi;
1. Tutumie PM namba yako ya simu unayotumia
2. Tutumie copy ya kitambulisho halali chenye jina lako halisi
Zingatia:
JamiiForums inatoa pongezi nyingi kwa washindi na asanteni kwa ushirikiano wenu.
Kama ilivyotangazwa awali, kwamba zawadi za simu zitakuwa zimefika Ofisi za Jamii Media, Mikocheni-Dar, kufikia Jumatatu ya tarehe 11 July, 2016 na washindi watapewa maelekezo namna ya kufika na kukabidhiwa zawadi zao.
Tunathibitisha kwamba zawadi hizo zipo tayari na kilichobaki ilikuwa ni kuandaa utaratibu mzuri wa kuzikabidhi kwa washindi.
Kwa wale washindi ambao tumewasiliana PM; tungependa muzingatie maelekezo haya upya ili kuweza kuja kuchukua zawadi;
1. Tutumie PM namba yako ya simu unayotumia
2. Tutumie copy ya kitambulisho halali chenye jina lako halisi
Zingatia:
- Utaulizwa jina lako halisi na litalinganishwa na lililopo kwenye kitambulisho,
- Namba ya simu utakayotupatia itajaribiwa ili kuhakiki.
- Haitokubalika kutuma mtu akuchukulie zawadi, ni lazima ufike mwenyewe.
- Kama haupo Dar na umekosa nafasi ya kuja kuchukua, zawadi yako itahifadhiwa mpaka pale utakapokuwa tayari.
JamiiForums inatoa pongezi nyingi kwa washindi na asanteni kwa ushirikiano wenu.