Jindal Singh
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 1,857
- 1,541
Kweli kabisa.
Waarabu walikuwa juu kipindi cha karne 8-14 kipindi ambacho kiliitwa "Islamic golden age" hata mtu wa kwanza kusuggest dunia sio center of universe, corpenecus kwenye "Revolution of heavenly bodies" aliwanukuu wanasayansi Kama watano hivi wa kiarabu ambao ni al-Battaan,al-bitruji,ibn rushd wengine nimewasahau ila tangu kuibuka kwa west waarabu wako hoi kwenye ishu za sayansi wao wanaendekeza migogoro ya kidini na kiitikadi tu.