Zoom Tanzania Wanashirikiana na Matapeli??

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,013
8,369
Jamani wanajamvi nisaidie kumkamata mwizi.

Ilikuwa juzi mzee nimekaa nyumbani kwangu ,ikaona ngoja niingie Zoomtanzania, nikakuta post za project officers 5 post katika ngo inayoitwa climate vission, ipo jijini dar nikaomba eti leo hasubuhi ata kuamka sijamkaa ikaingia text inasema hivi,

''hello,am Mr Kauga from climate vission ngo in dar tunaingia kwenye vikao kupitia CV kwa ajira ya kushortlist majina ya interview, nataka nikusaidie upate kwa mashariti haya, leo kabra ya saa nane utume elfu 50,000. na baada ya kupata kazi utanipa laki 5, nitakutumia maswali ya interview leo na ntakupigia simu nikitoka kwenye kikao.

'' Mwisho wa kumnukuu mwizi mr Kauga jamani msaada tumkimbize mwizi. Ndio maana juzi niliandika hapa jf kuwa zoomtanzania ifutwe, na mitandao yote ya kitapeli ikomeshwe taesa wawe wakala kweli wa ajira za private.

Najua kuna wtu mliomba hizo [post kuweni makini ni wezi hawa. zooomtanzania ndo chanzo.
 
JAMANI wanajamvi nisaidie kumkamata mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi,

ilikuwa Juzi mzee nimekaa Nyumbani kwangu ,ikaona ngoja niingie ZOOMTANZANIA, NIKAKUTA post za PROJECT OFFICERS 5 POST KATIKA NGO INAYOITWA CLIMATE VISSION, ipo jijini dar nikaomba eti leo hasubuhi ata kuamka sijamkaa ikaingia text inasema hivi,
''Hello,am Mr KAUGA from climate vission NGO IN DAR tunaingia kwenye vikao kupitia cv kwa ajir ya kushortlist majina ya interview, nataka nikusaidie upate kwa mashariti haya, leo kabra ya saa nane utume elfu 50,000. na baada ya kupata kazi utanipa laki 5, nitakutumia maswali ya interview leo na ntakupigia simu nikitoka kwenye kikao.'' Mwisho wa kumnukuu MWIZI MR KAUGA JAMANI MSAADA TUMKIMBIZE MWIZI, MWIZI MWIZI, MWIZI MWIZI. TYPE KIMBIZA MWIZI ILI KUKOMESHA TABIA ZA KISHEZNI HZI. ndio maana juzi niliandika hapa jf kuwa zoomtanzania ifutwe, na mitandao yote ya kitapeli ikomeshwe TAESA WAWE WAKALA KWELI WA AJIRA ZA PRIVATE. najua kuna wtu mliomba hizo [post kuweni makini ni wezi hawa. zooomtanzania ndo chanzo.
NAMBA YAKE ALIYOTUMIA NI HII HAPA 0677889778 JIZI ILI LIEPUKENI.
 
huyo mr kauga ni scamer mmoja hatari, ni bingwa wa kudesign website kwa logo za kampuni! MPAKA UWE MJANJA KUWEZA KUMSANUKIA. NDEZI WENGI WASHALIZWA SANA.
 
JAMANI wanajamvi nisaidie kumkamata mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi,

ilikuwa Juzi mzee nimekaa Nyumbani kwangu ,ikaona ngoja niingie ZOOMTANZANIA, NIKAKUTA post za PROJECT OFFICERS 5 POST KATIKA NGO INAYOITWA CLIMATE VISSION, ipo jijini dar nikaomba eti leo hasubuhi ata kuamka sijamkaa ikaingia text inasema hivi,
''Hello,am Mr KAUGA from climate vission NGO IN DAR tunaingia kwenye vikao kupitia cv kwa ajir ya kushortlist majina ya interview, nataka nikusaidie upate kwa mashariti haya, leo kabra ya saa nane utume elfu 50,000. na baada ya kupata kazi utanipa laki 5, nitakutumia maswali ya interview leo na ntakupigia simu nikitoka kwenye kikao.'' Mwisho wa kumnukuu MWIZI MR KAUGA JAMANI MSAADA TUMKIMBIZE MWIZI, MWIZI MWIZI, MWIZI MWIZI. TYPE KIMBIZA MWIZI ILI KUKOMESHA TABIA ZA KISHEZNI HZI. ndio maana juzi niliandika hapa jf kuwa zoomtanzania ifutwe, na mitandao yote ya kitapeli ikomeshwe TAESA WAWE WAKALA KWELI WA AJIRA ZA PRIVATE. najua kuna wtu mliomba hizo [post kuweni makini ni wezi hawa. zooomtanzania ndo chanzo.
NAMBA YAKE ALIYOTUMIA NI HII HAPA 0677889778 JIZI ILI LIEPUKENI.
 
Ndugu huko zoom hata kama hayo yalinikuta yaani hawa jamaa wa zoom inafika kipindi nawafikiria vibaya sana kwamba wanatengeneza kazi maana hili jambo sio la leo wala jana,Na kazi zinazotoka zoom mara nyingi magumashi sana ,kama kazi labda zile zinazotoka ajira zetu,utumishi,vijana jobs na baadhi ya sehemu lkn za zooms chunguza sana hiyo kazi kama ina adress,iko wapi na tafuta hilo jina la kampuni utakuta lipo marekani.Kwa ushauri hizi namba wanabadilisha sana ila ni matapeli haoo.
 
Sasa si ungeenda kumripoti polisi au takukuru maana jf sio polisi wala takukuru
 
Utamtumiaje mtu fedha usiyemjua!mambo ya mtandaoni jaribu kuonana na mtu physically kwanza kabla ya kuamua jambo
 
Mamakomzazi humtumii hela ukamtumie MTU kakupuliza lwenye mtandao mnalogwaje ninyi mmekula ujiwa wapii ninyii
 
Zoomtamzania ni wahuni kama wahuni wengine tu!Mimi nimeshatumiwa sms kama hiyo zaidi ya mara mbili.
 
Inaonekana hawa ZoomTanzania sio wafautiliaji wa wale wanaoleta matangazo yao ya kazi, kwan kuna wakati hufanya vizuri kwa kupost nafasi za kazi kutoka kwa makampuni sahihi na kuna wakati hupost nafasi za kazi kutoka kwa matapeli. Mimi binafsi nimeshakutana na utapeli huo mara mbili ijapokuwa hawakufanikiwa kunichomoa pesa, kwasababu isingewezekana nikutumie pesa bila kukutana na ndo kitu alikuwa hataki
 
Inaonekana hawa ZoomTanzania sio wafautiliaji wa wale wanaoleta matangazo yao ya kazi, kwan kuna wakati hufanya vizuri kwa kupost nafasi za kazi kutoka kwa makampuni sahihi na kuna wakati hupost nafasi za kazi kutoka kwa matapeli. Mimi binafsi nimeshakutana na utapeli huo mara mbili ijapokuwa hawakufanikiwa kunichomoa pesa, kwasababu isingewezekana nikutumie pesa bila kukutana na ndo kitu alikuwa hataki
Shirikisha kampuni ya simu yenye mtandao huo wao wananamna ya kumtafuta na kumpata kwa njia ya teknojia ya mtandao ya simu. Lakini acha kutoa hela kwa MTU usiyemfahamu wala kujua ofisi yake ilipo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom