mtoa hoja si vibaya uende kwa mtumishi wa mungu ili uombewe upate kuacha kuyafikiria mambo ambayo ni ya binafsi zaidi na hasa haya ngono. USIIKARIBIE ZINAA...
Badilisha kichwa cha habari kwenye ujumbe wako pamoja na kuwa hapa jf ni dare to talk hili neno adabu limetumika ndivyo sivyo, nina imani jf wachangiaji wote wako safi isipokuwa wewe ndiyo huna adabu. hebu jiulize rais anakwenda Jamika kwenda kuonana na mwanamziki kama aliyemwacha nchini kwake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.