Wabs,
As a scholar, naomba unipe perspective yako.
Kama mungu huyu wa Judeo-Christian tradition ana uwezo wote, na ana upendo wote, na aliweza kuuumba ulimwengu huu vyovyote vile alivyopenda, kwa nini kaumba ulimwengu wenye evil?
Ina maana alilazimika kuuumba ulimwengu huu na hii evil, au hakulazimika?
Kama alilazimika, je kweli huyu mungu anaweza kila kitu?
Kama hakulazimika, kwa nini kauumba ulimwengu wenye evil? Huoni kwamba kaumba ulimwengu ambao inevitably some of us tutakuwa overwhelmed na the forces of evil?
On that same question, je mungu aliweza ku create kitu asichoweza ku create?
Kama aliweza, doesn't that mean kwamba kuna kitu hataweza by virtue of the fact that he created something that he cannot create?
Kama hawezi je kweli huyu mungu anaweza kila kitu?
Mungu basically ni idea fulani hivi ya kitu ambacho hakipo.
Societies primitive zilipokuwa zinashindwa kuelezea kitu chochote kile, iwe radi, mvua kifo etc, zilisema kwamba hiyo ni kazi ya mungu.
Jinsi tunavyoelimika zaidi tunaona kwamba mungu hayupo, ni hadithi tu za watu wa kale ambazo ni ngumu sana kuziacha kwa sababu ya tradition, na sisi binadamu tunapenda kuwa na matumaini kwamba kuna kitu kikubwa zaidi yetu kinatulinda na kutuangalia, hasa kwa sababu tunalelewa na wazazi tangu watoto.
Lakini regardless ya vitabu hivi ancient vinasema nini, mungu ni idea iliyotengenezwa na binadamu, hayupo na wala hajawahi kuwepo.
Ndiyo maana kuna controversies nyingi sana kuhusu mungu, kwa sababu waliomtunga waliishi katika ulimwengu wa giza na hawakuweza kujua mambo mengi sana tunayojua leo.
Ukijua kwamba mungu hayupo hizi habari za mungu kamtwaa nani sijui nini wala haziwezi kukubabaisha, utajua tu watu wanakufa kwa ugonjwa wa moyo, na ajali za gari, na risasi, na wengine ni the breaking down of the body due to age according to the laws of entropy and the second law of thermodymanics, hamna cha mungu wala shetani.
Sanasana mungu na shetani ni wewe mwenyewe binadamu, na mbingu na moto viko hapahapa duniani, na kifo ndio mwisho wa mchezo kwako.
Pamoja na yote wewe jaribu kumsema mungu wake wa kiarabu anaitwa allah utamsikia anavyobadilika!mama mia huyu mtu (bluray) anafundishika.
manake siamini kuwa haya anayobwabwaja hapa jamvini alitoka nayo tumboni mwa mama yake, lazima kuna mahali alifunzwa na kufundishwa. anachokosea njia ni kwamba kawaamini waliomfundisha hadi kawafanya miungu yake ya maarifa na wakati huohuo akijicontradict kuwa hakuna mungu. jinsi anavyowaamini wanafalsafa, nadhani kama wangekuwa mashoga (ashakum si matusi) nae angekuwa shoga (kama si shoga kwa sasa).
manake anachukua kila kitu tena from the face value, bila ku-digest na ubongo wake. ubongo wake wa thamani kaupeleka likizo ya muda usiojulikana bila sababu yoyote. na kutokana na likizo hiyo sasa anasambaza upuuzi wa kukosa fikra huru humu jamvini,
ndio maana nasema tumuombee na kila tukipata fursa tusiogope kumfundisha walau kidogo. anafundishika huyu!
mama mia huyu mtu (bluray) anafundishika.
manake siamini kuwa haya anayobwabwaja hapa jamvini alitoka nayo tumboni mwa mama yake, lazima kuna mahali alifunzwa na kufundishwa. anachokosea njia ni kwamba kawaamini waliomfundisha hadi kawafanya miungu yake ya maarifa na wakati huohuo akijicontradict kuwa hakuna mungu. jinsi anavyowaamini wanafalsafa, nadhani kama wangekuwa mashoga (ashakum si matusi) nae angekuwa shoga (kama si shoga kwa sasa).
manake anachukua kila kitu tena from the face value, bila ku-digest na ubongo wake. ubongo wake wa thamani kaupeleka likizo ya muda usiojulikana bila sababu yoyote. na kutokana na likizo hiyo sasa anasambaza upuuzi wa kukosa fikra huru humu jamvini,
ndio maana nasema tumuombee na kila tukipata fursa tusiogope kumfundisha walau kidogo. anafundishika huyu!
allah kumbe yuko kwenye watoto mamamdogo loh pole!!!Pamoja na yote wewe jaribu kumsema mungu wake wa kiarabu anaitwa allah utamsikia anavyobadilika!
Hivi Allah anayetajwa katika Biblia ya Kiarabu ni wa Waarabu tu?Pamoja na yote wewe jaribu kumsema mungu wake wa kiarabu anaitwa allah utamsikia anavyobadilika!