Wabs,
As a scholar, naomba unipe perspective yako.
Kama mungu huyu wa Judeo-Christian tradition ana uwezo wote, na ana upendo wote, na aliweza kuuumba ulimwengu huu vyovyote vile alivyopenda, kwa nini kaumba ulimwengu wenye evil?
Ina maana alilazimika kuuumba ulimwengu huu na hii evil, au hakulazimika?
Kama alilazimika, je kweli huyu mungu anaweza kila kitu?
Kama hakulazimika, kwa nini kauumba ulimwengu wenye evil? Huoni kwamba kaumba ulimwengu ambao inevitably some of us tutakuwa overwhelmed na the forces of evil?
On that same question, je mungu aliweza ku create kitu asichoweza ku create?
Kama aliweza, doesn't that mean kwamba kuna kitu hataweza by virtue of the fact that he created something that he cannot create?
Kama hawezi je kweli huyu mungu anaweza kila kitu?
I adore your question, I real is.
But will you have openmind for this?
I am afraid the very same strength you are using in evolution things you need to use in bible thing
back to the question;
Satan is the author of sin!
Satan was an angel and he fall in sin, and he and his followers(angels)Ezekiel 28:15 ,Ezekiel 28:17, was thrown down to earth kwenye pits.Jude 1:6
World was good and perfect after creation.Kumbuka shetani alifanya dhambi after human creation-(spiritually)
Binadamu amaumbwa kwa mfano wa Mungu, can decide, think, create, see, hear, emotion etc, exactly like God, tofauti ni kuwa kama mwanadamu anaona kwa macho mawili, Mungu yeye ni unexplainable.
1. Mungu alimuumba mwanadamu for his pleasure and Glory
2. Mwanadamu kaumbwa kama shahidi , sisi ni mabalozi, we are in the position te decide after all in this life, who is wrong between
satan and
God!
Mwanadamu akafanya dhambi ya kiburi na uasi from very beginning, na baada ya anguko Mungu Mungu akaweka ahadi ya ukombozi.why? because for God to destroy satan who sinned he too have to do the same thing for man. God was ot happy when man sinned, he was sad, he trusted on us the same way he did to Lucifer!. But he is in love with us! Thats why issue of redemption through Jesus is all about, to regain our birthright.Not from any prophets or what but through himself!
Dunia haikuwa mbaya, haikuwa evil, haikuwa na magonjwa baada ya anguko letu all those came.we are now heading to the new world, na awatakaoenda huko ni wale wanaokubali redemption of Jesus christ.
Mungu anaweza kudestroy dunia yote hata leo, lakini hataki mtu afe katika dhambi.
God gave us precious gift ya kufanana na yeye, we are miracle
Lord, I praise you because I am fearfully and wonderfully made; your works are wonderful, I know that full well!"[SIZE=-1] (Psa. 139:14)[/SIZE]
Today satan anad human are blaming God because he created them! tumeasi Mungu, hatufuati anayosema, ameshatuonya tukifanya hivi tutapata mabaya haya na haya. WHEN ALL THOSE BAD THINGS ARE HAPPENING to us TUNAMLAUMU Mungu, kwa nini ulituumba!!1
is our living not real good and enjoyable? if Yes why shouldnt we cherish life and obey who authored us??
YES HE CAN DO ALL THINGS AND ONE OF THEM IS TO CREATE HUMAN WHO HAS INDEPENDENT MIND AND DECISION LIKE HIM!
So God created man in his own image, in the image of God he created him; male and female he created them."[SIZE=-1] (Gen. 1:26,27)[/SIZE]
Is God not Good?
You know the technique now!!
Mungu kwa nature yake hana dhambi na hana compromise na dhambi. mwanadamu ameshashindwa kuishinda dhambi.HE himself is replacing human will and soul to overcome SIN, when the day of judgement come, he want us to be clean and to rejoin him..thats is the mission of Jesus.