Mshaurini mtangazaji huyu

reandle

JF-Expert Member
May 6, 2009
11,168
8,142
I am serious, msahidieni mtangazaji huu!!! Bado ni kijana mdogo ambae bila shaka anahitaji mafanikio kwenye kazi yake, lakini tatizo lake si yeye. Kijana huyo wa makamo, ni mtangazaji wa kituo cha televevisheni cha Mlimani TV, sina hakika kama ni mtangazaji wa redio vile vile. Huyu mheshimiwa anaitwa Nurudini nani sijui lakini inaelekea anaipenda sana kazi yake. Ukimuona kwenye screen ya tv, anavutia tatizo ni kwamba hayupo original. Sio siri, endapo utamsikiliza bila kumuangalia, unaweza kuamini mtangazi aliye hewani ni Marini Hassani wa TBC 1! Kinachonifanya nimuhurumie zaidi, hata pozi zake ni 100% Marini Hassani? Marini Hassani ana pozi zake Fulani za uwekaji wa mkono, huyu bwana nae anafanya hivyo hivyo!!! Hoyaa mshikaji, nahisi unapotoka wangu, stop being a “wanna be!” Kwneye kioo unauzika man, but be yourself!!! Dah, sina hakika endapo ataupata ujumbe huu, lakini anayemfahamu amshauri mshikaji awe yeye kama yeye na si kama Marini Hassani!! Najua hili tatizo wanalo watu wengi, lakini kwa mshikaji naona ni kubwa zaidi; hadi pozi wangu?!
 
CHUKI BINAFSI HAIFAI...TUIACHENI JAMANI ITALETA TAFALANI
nurdini selemani huyuhuyu tunayemfahamu anaiga kweli?
kwani we mwandishi hujui mambo ya 'look alike'
kuna watu wanafanana japo si lazima iwe kwa kila kitu
wengine wanafanana sura....wengine kuongea.....wengine kichwa.....wengine kutembea....
we kwako cha ajabu nini?
 
CHUKI BINAFSI HAIFAI...TUIACHENI JAMANI ITALETA TAFALANI
nurdini selemani huyuhuyu tunayemfahamu anaiga kweli?
kwani we mwandishi hujui mambo ya 'look alike'
kuna watu wanafanana japo si lazima iwe kwa kila kitu
wengine wanafanana sura....wengine kuongea.....wengine kichwa.....wengine kutembea....
we kwako cha ajabu nini?

Niwe na chuki na m2 asiye na interest yoyote kwangu ili iwe nini? Simfahamu, hanifahamu na wala sipo kwenye media industry!!!sasa kwanini nimchukie? yule hajafanana na marini hassani hata kwa nukta moja, but he wanna be like marini hassani. kama unampenda, mshauri awe original kama anataka ku-advance kwenye kazi yake. hebu muangalie kwenye kipindi cha magazeti umuone. ni nini hicho alichofanana na marini hassani? ile sio "look like" bali ni "wan-nabe"
 
Inaonekana bongo kuna shortage kubwa sana ya fun & entertainment. Yaani mtu kama anakuboa badala ya kumu-ignore unaanza kupoteza muda kumfungulia thread, tena JF? Mi nadhani muanzisha kuna kitu anakitafuta sio bure.
 
I am serious, msahidieni mtangazaji huu!!! Bado ni kijana mdogo ambae bila shaka anahitaji mafanikio kwenye kazi yake, lakini tatizo lake si yeye. Kijana huyo wa makamo, ni mtangazaji wa kituo cha televevisheni cha Mlimani TV, sina hakika kama ni mtangazaji wa redio vile vile. Huyu mheshimiwa anaitwa Nurudini nani sijui lakini inaelekea anaipenda sana kazi yake. Ukimuona kwenye screen ya tv, anavutia tatizo ni kwamba hayupo original. Sio siri, endapo utamsikiliza bila kumuangalia, unaweza kuamini mtangazi aliye hewani ni Marini Hassani wa TBC 1! Kinachonifanya nimuhurumie zaidi, hata pozi zake ni 100% Marini Hassani? Marini Hassani ana pozi zake Fulani za uwekaji wa mkono, huyu bwana nae anafanya hivyo hivyo!!! Hoyaa mshikaji, nahisi unapotoka wangu, stop being a “wanna be!” Kwneye kioo unauzika man, but be yourself!!! Dah, sina hakika endapo ataupata ujumbe huu, lakini anayemfahamu amshauri mshikaji awe yeye kama yeye na si kama Marini Hassani!! Najua hili tatizo wanalo watu wengi, lakini kwa mshikaji naona ni kubwa zaidi; hadi pozi wangu?!
inaonekana imekutachi sana eeh!?!!!!
 
Niwe na chuki na m2 asiye na interest yoyote kwangu ili iwe nini? Simfahamu, hanifahamu na wala sipo kwenye media industry!!!sasa kwanini nimchukie? yule hajafanana na marini hassani hata kwa nukta moja, but he wanna be like marini hassani. kama unampenda, mshauri awe original kama anataka ku-advance kwenye kazi yake. hebu muangalie kwenye kipindi cha magazeti umuone. ni nini hicho alichofanana na marini hassani? ile sio "look like" bali ni "wan-nabe"
naamini kabisa unamfahamu sana nurdini.................na unamfahamu sana malini..............na inawezekana umetumwa na malini km sivyo na unaona anakuboa usiangalie kipindi chake..
 
ahahahaha..sasa kama marine hassan ndio role model wake wewe unataka dogo afanye nini cha ziada...kama ameweza kumgeza 100% marine hassan mie nadhani inabidi tbc 1 waanze kumfikiria kwenye ajira kuziba pengo la marine anayeelekea uzeeni plus kustaafu....

natamani angekuwapo second nyerere aiongoze hii nchi..ila basi tu vijana wamemgeza sauti na SIO MATENDO NA MOYO SAFI KWA NCHI YETU....big up the upcoming marine hassan
 
hakuna tatizo kujifananisha na marin hassan marin hii inaonesha wazi marin anavyokubalika na anavyoijua vyema kazi yake,kwamaana hii marin ni mfano wa kuigwa tofauti na wale majuha wa television zanzibar waliomtosa marin kwa ujinga wao wakila kitu kuingiza siasa hata inafikia kuwapoteza wachapakazi mahiri sana kama marin hassan,hongera tbc kwa kumuona marin na kumleta kuchapa kazi tbc mpaka sasa tbc imekua juu na ni mfano wa kuigwa katika vituo bora vya televisheni barani afrika tbc mko juu ,bravvo tbc hongera marin na wadau wote wa tbc.
 
Niwe na chuki na m2 asiye na interest yoyote kwangu ili iwe nini? Simfahamu, hanifahamu na wala sipo kwenye media industry!!!sasa kwanini nimchukie? yule hajafanana na marini hassani hata kwa nukta moja, but he wanna be like marini hassani. kama unampenda, mshauri awe original kama anataka ku-advance kwenye kazi yake. hebu muangalie kwenye kipindi cha magazeti umuone. ni nini hicho alichofanana na marini hassani? ile sio "look like" bali ni "wan-nabe"

Mkuu yes kuiga kunaboa, je wewe ni real? wewe ndie NasDAz mwenyewe au na wewe umeiga hilo jina --- kama umeiga sasa na wewe siyo wannabe?
 
Mkuu yes kuiga kunaboa, je wewe ni real? wewe ndie NasDAz mwenyewe au na wewe umeiga hilo jina --- kama umeiga sasa na wewe siyo wannabe?
mambo hayo....................mkuki kwa nguruwe kwa binadamu.......................
 
Tune your TV to cartoon ama Gospel simpo!

unapoteza nguvu zako mkuu kumshauri mtu mwenye chuki binafsi,
sasa kama huyo jamaa(mtangazaji) anamzimikia Marini Hasani kuna ubaya gani kuiga role model wako
Nyerere role model wake alikuwa MAO na alimuiga mpaka suti
 
naamini kabisa unamfahamu sana nurdini.................na unamfahamu sana malini..............na inawezekana umetumwa na malini km sivyo na unaona anakuboa usiangalie kipindi chake..

Hahahaha!!! hujui unaloongea kijana
 
Mkuu yes kuiga kunaboa, je wewe ni real? wewe ndie NasDAz mwenyewe au na wewe umeiga hilo jina --- kama umeiga sasa na wewe siyo wannabe?
NasDaz ni ufupisho wa majina yangu mkuu, therefor sijaiga popote
 
Inaonekana bongo kuna shortage kubwa sana ya fun & entertainment. Yaani mtu kama anakuboa badala ya kumu-ignore unaanza kupoteza muda kumfungulia thread, tena JF? Mi nadhani muanzisha kuna kitu anakitafuta sio bure.

Haniboi wangu, ni ushauri tu for his own benefit. ningekuwa namfahamu ningeshamwambia kwamba ajitahidi kuwa yeye na si kama fulani; that's all!
 
naamini kabisa unamfahamu sana nurdini.................na unamfahamu sana malini..............na inawezekana umetumwa na malini km sivyo na unaona anakuboa usiangalie kipindi chake..
kama hutajali naweza kukupatia my full cv na back ground yangu halafu kamuulize kama anamfahamu mtu kama mimi!! nasimamia na hoja yangu, kama unapenda maendeleo yake na unamfahamu, kamwambie awe yeye na si mwingine na atafika mbali.by the way, ya nini kuanza kushutumu wazee wa watu wangu?! huyo marine mwenyewe simfahamu zaidi ya kumuona kwenye tv, sasa atanituma vp? try to face facts badala ya kuweka jazba mbele. inawezekana una interest na huyo dogo ndo maana imeku-touch sana, but huo ni ushauri tu!
 
unapoteza nguvu zako mkuu kumshauri mtu mwenye chuki binafsi,
sasa kama huyo jamaa(mtangazaji) anamzimikia Marini Hasani kuna ubaya gani kuiga role model wako
Nyerere role model wake alikuwa MAO na alimuiga mpaka suti

Sizungumzii muonekano, nazungumzia sauti. assume kuna interview kutafuta mtangazi na kutumia kigezo cha sauti- wewe utamchukua nani? original au artificial?
 
I am serious, msahidieni mtangazaji huu!!! Bado ni kijana mdogo ambae bila shaka anahitaji mafanikio kwenye kazi yake, lakini tatizo lake si yeye. Kijana huyo wa makamo, ni mtangazaji wa kituo cha televevisheni cha Mlimani TV, sina hakika kama ni mtangazaji wa redio vile vile. Huyu mheshimiwa anaitwa Nurudini nani sijui lakini inaelekea anaipenda sana kazi yake. Ukimuona kwenye screen ya tv, anavutia tatizo ni kwamba hayupo original. Sio siri, endapo utamsikiliza bila kumuangalia, unaweza kuamini mtangazi aliye hewani ni Marini Hassani wa TBC 1! Kinachonifanya nimuhurumie zaidi, hata pozi zake ni 100% Marini Hassani? Marini Hassani ana pozi zake Fulani za uwekaji wa mkono, huyu bwana nae anafanya hivyo hivyo!!! Hoyaa mshikaji, nahisi unapotoka wangu, stop being a “wanna be!” Kwneye kioo unauzika man, but be yourself!!! Dah, sina hakika endapo ataupata ujumbe huu, lakini anayemfahamu amshauri mshikaji awe yeye kama yeye na si kama Marini Hassani!! Najua hili tatizo wanalo watu wengi, lakini kwa mshikaji naona ni kubwa zaidi; hadi pozi wangu?!

Binafsi simjui huyo jamaa na wala sijamfuatilia kihivyo.To be honest you have the point.Kama ni kweli anamuiga Marine hata kama ni model wake bado anatakiwa kuwa kama yeye,awe na staili zake ambazo zitamtambulisha katika fani yake.Anaeweza kumshauri hili ni vizuri akafanya hivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom