[Mama yangu weeeeeeeeeee, sitaki kuamini kuwa tuna wabunge Form IV leavers, this is too crazy to bear! kweli tumefikia hatua ya kuwa na wawakilishi vilaza namna hii kwenye nchi ambayo ina wasomi wa kutosha??? Sasa huko London anasoma nini?? This is just unbelievable crapp, labda kama si kweli...