Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 4,082
- 3,362
Ama kweli siasa ni mchezo mchafu, nikikumbuka siku alipotutangazia kwamba anaachia sofa seti zake na kuingia uraiani na jinsi mkewe alivyo bubujikwa machozi leo hii NAFURAHI SANA ingawa ujasiri wake utaweza kumrejesha serikalini tukaona tena anarudi kwenye kiti chake cha enzi kama kawaida.
Enzi za Sofa
Hapa ni Mambo ya Nyakati
Enzi za Sofa
Hapa ni Mambo ya Nyakati