Nimefatilia hotuba nyingi za mheshimiwa Rais JPM akiwa kanda ya ziwa katika hotuba zake kwa wananchi huwa anatumia lugha za asili ya makabila ya huko.
Nashauri wanao ripoti habari hizi hasa zile video zilizowekwa katika social media kama youtube.com wangekuwa wanatasfiri zile "vurnecular...
Habari wana JF,
Mitaa ya mingi ya kata ya Azimio na Tandika wilaya ya Temeke kuna zoezi la ulinzi shirikishi limeanzishwa. Kila mwananchi inabidi alinde japo siku moja kwa wiki. Ulinzi unaanza saa moja kamili usiku hadi saa kumi na moja na nusu asubuhi.
Kuna vikao kama viwili walikaa wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.