Recent content by makaa

  1. M

    Nikaribisheni

    Karibu
  2. M

    Benki ipi nzuri kufungua account?

    Akiba commercial bank
  3. M

    Ukara Fish: Dagaa wa kukaangwa wa Mwanza

    Mwanza mko sehemu gani? Tuwekee na mchanganuo wa bei zenu kwa package! changwe
  4. M

    Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

    Semister moja mnafanya masomo nane? Course gani hiyo?
  5. M

    Serikali imevifuta Vituo vyote vya huduma za Afya ya VVU na UKIMWI kwa watu wa makundi maalumu

    Kwa mfano vile vituo vya ANGAZA haviruhusiwi kutoa huduma ya upimaji? Instead uende hospitali za serikali! Sijaelewa hapo!!!
  6. M

    Angela Kairuki: Zaidi ya walimu 5000 waingia mitini

    Maneno yako yana viemelea vya uchochezi
  7. M

    Nimeamua kubadili dini na kuwa Mwislamu

    Unajuaje? #achauongo
  8. M

    Hakuna special thread

    Hakuna kama Mama
  9. M

    Ushauri kwa ripota wa rais ikulu (Kurugenzi ya habari ikulu)

    Nimefatilia hotuba nyingi za mheshimiwa Rais JPM akiwa kanda ya ziwa katika hotuba zake kwa wananchi huwa anatumia lugha za asili ya makabila ya huko. Nashauri wanao ripoti habari hizi hasa zile video zilizowekwa katika social media kama youtube.com wangekuwa wanatasfiri zile "vurnecular...
  10. M

    Ulinzi shirikishi (Sungusungu)

    Habari wana JF, Mitaa ya mingi ya kata ya Azimio na Tandika wilaya ya Temeke kuna zoezi la ulinzi shirikishi limeanzishwa. Kila mwananchi inabidi alinde japo siku moja kwa wiki. Ulinzi unaanza saa moja kamili usiku hadi saa kumi na moja na nusu asubuhi. Kuna vikao kama viwili walikaa wananchi...
Back
Top Bottom