Nikaribisheni

Nikaribisheni

Hahahahaa jaman nimecheka sana hii post. Not yet putin
Haaaa kila saa nakua wamwisho yaan ndo umekuja nijib usiku huuu
Anyway My buddies bet me that ,I will not be able to start a conversation with such beautiful creature like you , will you want to buy some drinks with their money ?
 
Hivi huyu njiwa bado haja pata mtego humu ndani. Manyang'au hayajafanya yao naona.
 
Daaahh Mkuu nipo ati siunajua Uchaguzi Wa urais umefika na natafuta kuchaguliwa upya ?? Saizi nipo ktk kampeni mkuu !!.

Vipi Kim Jong In mmeshamalizana au ??.

Mgeni awapo malangon hustahili mazuri
Panki Muache Ahangaike tuu. One day ntamfuta Kwenye USO Wa dunia na hata Amini Hadi akasimulie Kwa Maraika MToa Roho
 
Hahaha wewe mwaka huu utaachia Kiti Hicho. Tutafanya figisu Tukutoee
Hahahahahaha haiwezekan , yaaan hesabu zenu ziweken 2024 ..kwasasa sina mpenzi ,zaidi naona upinzani kutoka kwa ma Tycoon ambao Marekan inataka iwawekee vikwazo and they are my friend !!

Ndo maana siku zilizopita ,nimewaomba matajiri wanchi yangu wote waanze kurudisha pesa nyumban !!.
 
Hahahahahaha haiwezekan , yaaan hesabu zenu ziweken 2024 ..kwasasa sina mpenzi ,zaidi naona upinzani kutoka kwa ma Tycoon ambao Marekan inataka iwawekee vikwazo and they are my friend !!

Ndo maana siku zilizopita ,nimewaomba matajiri wanchi yangu wote waanze kurudisha pesa nyumban !!.
Hahaha wewe jitekenye tuu. Utaniambia hicho kama utarudi. Tunapiga figisu grade A+ bila kukosea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom