Recent content by Magpie

  1. Magpie

    Uturuki kuna nini?

    kuna babu anatoa kikombe pia
  2. Magpie

    Mheshimiwa Zitto, kwa hili umekosea

    Bravo.... !!!
  3. Magpie

    Tovuti ya HESLB ipo sawa ama?

    Nini suluhishi ya haya matatizo ?huduma za internet tz ni poor,.. Inafurahisha taasisi mbalimbali zikitaka kuachana na taratibu za kizamani na kwenda kidigo na ulimwengu wa techn, ila inasikitisha kuona serikali kama serikali kuto kua tayari kutengeneza mazingira mazuri ili haya mambo yawe kwa...
  4. Magpie

    TP mazemba yakiuka kanuni za fifa jioni

    Mnyamaa kesha loa sharubu,... zimemtelemka kama za kambale...!!!
  5. Magpie

    Nitapata wapi jezi ya tp mazembe???

    zipo kibao pale kariakoo sokoni, karibu na parking area ya upande wa kusini wa soko, kama unatokea upande wa kuingilia shimoni,..kuna chingaz kibao pale wanauza..
  6. Magpie

    Yanga vs Azam

    dah naipenda yanga, lakini natamani azam wapate nafasi washiriki michuano ya CAF, tuone wataleta changamoto gani kwenye soka la kimataifa na soka la bongo kwa ujumla.
  7. Magpie

    Nimsaidieje mdogo wangu? Tafadhali naombeni ushauri wenu wanajamvi.

    dada huyo kijana muambie asome hiyo diploma ya ualimu, ajitahidi aweze kufaulu kwa kiwango cha B, yaani at least lower second, alafu kwa vile sasa anataka kusoma uhasibu, aje kuomba mkopo kwa kutumia cheti cha diploma kama sifa linganishi (equivalent).
  8. Magpie

    Loan board kwa hili mnastaili kulaumiwa

    Hela upelekwa kupitia account ya chuo kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza na kwa wale wanaoonba kwa mara ya kwanza,.. dhumini la kufanya hivi ni kwasababu mfumo wa admission sio reliable sana, unaweza kuta taarifa zilizopo bodi mwanafunzi aliomba udsm lakini anabadili anakwenda tumaini bila kutoa...
  9. Magpie

    Uvccm kuandaa maandamano kushinikiza bodi ya mikopo kuvunjwa!

    Maskini nchi yetu, kweli hawa ndio viongozi watakao kuja kuingoza nchi yetu,...?!! ni muda muafaka wakuona uwezo wa wasomi wetu wakufikiri na kutatua mambo, je wataangukia kwenye mtego huu ?
  10. Magpie

    Bodi ya mikopo: Vijana CCM ni wazushi

    hawa jamaa ningewaona wamaana kama wangeanza kufuatilia agizo la mwenyekiti wao wa taifa ccm, kuhusu swala la bodi la kua na account yao ambayo hela toka hazina zingeiingia moja kwa moja na kuachana na mtindo wa hela hizo za mikopo kwa wanafunzi kupitia wizara ya elimu na baadae zipilekwe...
  11. Magpie

    Mechi ya Simba na Yanga Uwanja wa Amani.

    natamani shahuku inayo kuepo kabla ya mechi ya yanga na simba, na msisimuko.. vingeweza kuwa reflected into actions uwanjani pindi timu hizi zinapo cheza, kiwango duni no flair yaani sijui tatizo ni nini ? wachezaji hafundikiki au nini ? ikabidi baada ya mechi nijiliwaze kwa kandanda safi la barca
  12. Magpie

    Seleka za Walami: Elton John apata mtoto

    hawaja adopt ila wamefanya surrogacy
  13. Magpie

    Usafiri wa Boti Zanzibar ni hatari

    Na hatari nyingine ni taa za kuongozea boat au meli kuingia bandarini kwa upande wa bara, nyingi hazifanyi kazi... ni hatari pale inapokua inanyesha mvua na ukungu umetanda.. nahodha inabidi awe makini sana.. usiombe hali hii ikikute kama ni muoga unaweza mwaga chozi mtu mzima...
  14. Magpie

    WADAU MNAONAJE, Taifa Stars hii imetulia?

    Tatizo sio kusoma majina yao kwenye magezeti na kusema imetulia, ni kweli ukisoma majina imetulia, tatizo ni pale wanaposhindwa kufunga magoli, sijui hili tatizo litakwisha lini maana linaniumiza sana.. hivi Tz hatuwezi kufuata mfano wa Ufaransa kuwapa uraia wachezaji ambao wanaonekana wanaweza...
  15. Magpie

    Mgomo wa wanafunzi Chuo Kikuu Ardhi balaa

    nimeona mabufu, vyoo na vyumba vyao hali yake inatisha na kusikitisha,.. ni vigumu kuamini kua hali hiyo ipo kwenye chuo hicho, kilicho jaa sifa si tu hapa nyumbani bali afrika kwa ujumla.. na shauri watanzania wenzangu wakati umefika kuanza kuchangia elimu na kuwekeza kwenye elimu na kuachana...
Back
Top Bottom